Ni yupi kati ya hawa ni wa kumuandaa kuwa Rais wa Tanzania hapo baadaye?

Ni yupi kati ya hawa ni wa kumuandaa kuwa Rais wa Tanzania hapo baadaye?

Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .

Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-​

1. Rais Hussein Mwinyi

2. Bashiru Ally

3. Askofu Gwajima

4. Kassim Majaliwa

5. Paul Makonda

6. Ummy Mwalimu

7. Hussein Bashe

8. Emmanuel Ole Shangai

9. Kenani Kihongosi

10. Tundu Lissu

Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
kama siyo Mataka, basi ni Lisu
 
  • Thanks
Reactions: RNA
1) Bashiru Ally.
2) Hussein Bashe.
Tuwe wakweli hapa, hulka za Bashiru Ali na Baba wa Taifa pamoja na Magufuli zinarandana sana sana,hata ukimwangalia usoni anaonekana afanyi mambo ya usanii ni mzalendo kweli kweli,msikilizeni anapo jieleza mbele ya mkutano au kongamano one could feel ana karma ya ziada ie si binadamu wa kawaida - wengi watanipinga na kumzulia mambo na kashfa za kutunga tu ili kumwaribia sifa -lakini ukweli unabaki pale pale kwamba Mtanzania mwenzetu huyu ni jembe sana.
 
Tuwe wakweli hapa, hulka za Bashiru Ali na Baba wa Taifa pamoja na Magufuli zinarandana sana sana,hata ukimwangalia usoni anaonekana afanyi mambo ya usanii ni mzalendo kweli kweli,msikilizeni anapo jieleza mbele ya mkutano au kongamano one could feel ana karma ya ziada ie si binadamu wa kawaida - wengi watanipinga na kumzulia mambo na kashfa za kutunga tu ili kumwaribia sifa -lakini ukweli unabaki pale pale kwamba Mtanzania mwenzetu huyu ni jembe sana.
Kuna ukweli hapa
 
*Hussein mwinyi labda na majaliwa

*Lissu hamna kitu humo
*Bashiru ni MTU wa kubadilika ataanza kutumia falsafa za kujihami.
*mwigulu hata atambikie baharini hana hata mwonekano wa kuongoza.
*makamba ni masifa sana atarudisha ibada ya kuimba na kusifu.
*Nape ana kiburi hivyo atagoma kutembea atataka abebwe kwenye machela. Tutaumia.
* Upinzani wote hamna kitu....
*****************************
Kura ni kwa
1.Dr. Hussein mwinyi.
2.Majaliwa(hapo ni muongo sana)

Lissu hawezi kigombea Tena. Chadema huwa hairudii mgombea.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
nitaiongoza hii nchi kuanzia 2035, na nitakaa madarakani kwa 30yrs, baada ya hapo Tanzania itakuwa ni moja ya nchi inayoogopeka sana duniani.

Bila kuja binadamu mwenye fikra na maono kama yangu, hii nchi haiwezi kutoboa.
Mtakaokuwa hai kuanzia 2035 mpaka 2065 mtaiona hii nchi itakavyopaa.
Hongera sana
 
Tuwe wakweli hapa, hulka za Bashiru Ali na Baba wa Taifa pamoja na Magufuli zinarandana sana sana,hata ukimwangalia usoni anaonekana afanyi mambo ya usanii ni mzalendo kweli kweli,msikilizeni anapo jieleza mbele ya mkutano au kongamano one could feel ana karma ya ziada ie si binadamu wa kawaida - wengi watanipinga na kumzulia mambo na kashfa za kutunga tu ili kumwaribia sifa -lakini ukweli unabaki pale pale kwamba Mtanzania mwenzetu huyu ni jembe sana.
^War-who-knee,^ kila wakati jina la BA likitajwa, wanakabwa kihoro na kuvurugwa matumbo. Bahati nzuri harakati na kasi za miaka ile 5 imewafanya wote wajue wako upande gani. Hapa kinachosubiriwa tu ni kipyenga cha 2025.

^Usione tu chui amejibanza; anajiandaa kuyasakama mawindo yake!^
 
^War-who-knee,^ kila wakati jina la BA likitajwa, wanashikabwa na kihoro na kuvurugwa matumbo. Bahati nzuri harakati na kasi za miaka ile 5 imewafanya wote wajue wako upande gani. Hapa kinachosubiriwa tu ni kipyenga cha 2025.

^Usione tu chui amejibanza; anajianda kuyasakama mawindo yake!^
Well said, barikiwa sana.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Hata mimi nimeshangaa Gwaji boy ana watu sana
Waumini wake
Hata mimi nimeshangaa Gwaji
Hata mimi nimeshangaa Gwaji boy ana watu sana
Hata mimi nimeshangaa Gwaji boy ana watu sana

Kweli akili ni Nywele kila mtu ana zake...
Kweli
Rais ajaye ni M Catholic yaani iwe iweje ni Mkatoliki!
ni lazima awe mkatoliki au mkristo yeyote ?
 
Kama list ndio hiyo kwa nini hujamtaja Piere Likwidi?.
Ulevi sio tatizo sana Kama ana akili kubwa ! Mbona ma Rais wengi tu walikuwa wanautwika na bado wanatawala Nchi kubwa tu na nyingine ni Super power Kama Urusi alikuwepo Boris Yeltsin! Baadhi ya ziara zake zilikuwa zinaakhirishwa akiwa angani kwa sababu anakuwa amelewa sana !! Hatari sn !!!
 
Sasa kama fact anazo DSO na RSO kwann shutuma ulete wewe? Au ulifikiri kila mtu ana kichwa cha kupokea matapishi ya wapinzani uchwara?
Subiri aliwe kichwa halafu uchafu wake uwekwe hadharani ndipo utajua nani ni mpinzani na nani ni mzalendo na mtetezi wa kweli wa taifa hili.
Nyinyi viroboto mnaoishi kwa kutegemea kusifia binadamu wenzenu kisa tu mliumbwa na uwezo mdogo wa ufahamu na kukosa malezi bora ya kifamilia na kielimu, ndio mnasababisha nchi hii sote tukaonekana hamnazo mbele ya uso wa walimwengu.
 
Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .

Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-​

1. Rais Hussein Mwinyi

2. Bashiru Ally

3. Askofu Gwajima

4. Kassim Majaliwa

5. Paul Makonda

6. Ummy Mwalimu

7. Hussein Bashe

8. Emmanuel Ole Shangai

9. Kenani Kihongosi

10. Tundu Lissu

Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
Ni Tundu Lissu pekee
 
Back
Top Bottom