- Thread starter
- #201
SawaYa Majaliwa ni tunu ya taifa letu. Lakini hata Mwinyi namkubali sana, japo wafia uzinzibar wa Zanzibar wanapambana kumkwamisha kwa vile ana asili ya bara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaYa Majaliwa ni tunu ya taifa letu. Lakini hata Mwinyi namkubali sana, japo wafia uzinzibar wa Zanzibar wanapambana kumkwamisha kwa vile ana asili ya bara.
kama siyo Mataka, basi ni LisuHabari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
Tuwe wakweli hapa, hulka za Bashiru Ali na Baba wa Taifa pamoja na Magufuli zinarandana sana sana,hata ukimwangalia usoni anaonekana afanyi mambo ya usanii ni mzalendo kweli kweli,msikilizeni anapo jieleza mbele ya mkutano au kongamano one could feel ana karma ya ziada ie si binadamu wa kawaida - wengi watanipinga na kumzulia mambo na kashfa za kutunga tu ili kumwaribia sifa -lakini ukweli unabaki pale pale kwamba Mtanzania mwenzetu huyu ni jembe sana.1) Bashiru Ally.
2) Hussein Bashe.
Kweli akili ni Nywele kila mtu ana zake...kama siyo Mataka, basi ni Lisu
Kuna ukweli hapaTuwe wakweli hapa, hulka za Bashiru Ali na Baba wa Taifa pamoja na Magufuli zinarandana sana sana,hata ukimwangalia usoni anaonekana afanyi mambo ya usanii ni mzalendo kweli kweli,msikilizeni anapo jieleza mbele ya mkutano au kongamano one could feel ana karma ya ziada ie si binadamu wa kawaida - wengi watanipinga na kumzulia mambo na kashfa za kutunga tu ili kumwaribia sifa -lakini ukweli unabaki pale pale kwamba Mtanzania mwenzetu huyu ni jembe sana.
*Hussein mwinyi labda na majaliwa
*Lissu hamna kitu humo
*Bashiru ni MTU wa kubadilika ataanza kutumia falsafa za kujihami.
*mwigulu hata atambikie baharini hana hata mwonekano wa kuongoza.
*makamba ni masifa sana atarudisha ibada ya kuimba na kusifu.
*Nape ana kiburi hivyo atagoma kutembea atataka abebwe kwenye machela. Tutaumia.
* Upinzani wote hamna kitu....
*****************************
Kura ni kwa
1.Dr. Hussein mwinyi.
2.Majaliwa(hapo ni muongo sana)
Lissu ni mnafiki. Anachokisema sicho anachokimaanisha. Bora hata Msigwa
Hongera sananitaiongoza hii nchi kuanzia 2035, na nitakaa madarakani kwa 30yrs, baada ya hapo Tanzania itakuwa ni moja ya nchi inayoogopeka sana duniani.
Bila kuja binadamu mwenye fikra na maono kama yangu, hii nchi haiwezi kutoboa.
Mtakaokuwa hai kuanzia 2035 mpaka 2065 mtaiona hii nchi itakavyopaa.
Makonda ni dhehebu gani nikumbushweRais ajaye ni M Catholic yaani iwe iweje ni Mkatoliki!
^War-who-knee,^ kila wakati jina la BA likitajwa, wanakabwa kihoro na kuvurugwa matumbo. Bahati nzuri harakati na kasi za miaka ile 5 imewafanya wote wajue wako upande gani. Hapa kinachosubiriwa tu ni kipyenga cha 2025.Tuwe wakweli hapa, hulka za Bashiru Ali na Baba wa Taifa pamoja na Magufuli zinarandana sana sana,hata ukimwangalia usoni anaonekana afanyi mambo ya usanii ni mzalendo kweli kweli,msikilizeni anapo jieleza mbele ya mkutano au kongamano one could feel ana karma ya ziada ie si binadamu wa kawaida - wengi watanipinga na kumzulia mambo na kashfa za kutunga tu ili kumwaribia sifa -lakini ukweli unabaki pale pale kwamba Mtanzania mwenzetu huyu ni jembe sana.
Well said, barikiwa sana.^War-who-knee,^ kila wakati jina la BA likitajwa, wanashikabwa na kihoro na kuvurugwa matumbo. Bahati nzuri harakati na kasi za miaka ile 5 imewafanya wote wajue wako upande gani. Hapa kinachosubiriwa tu ni kipyenga cha 2025.
^Usione tu chui amejibanza; anajianda kuyasakama mawindo yake!^
Anafaa?Lissu hawezi kigombea Tena. Chadema huwa hairudii mgombea.
Waumini wakeHata mimi nimeshangaa Gwaji boy ana watu sana
Hata mimi nimeshangaa Gwaji
Hata mimi nimeshangaa Gwaji boy ana watu sana
Hata mimi nimeshangaa Gwaji boy ana watu sana
KweliKweli akili ni Nywele kila mtu ana zake...
ni lazima awe mkatoliki au mkristo yeyote ?Rais ajaye ni M Catholic yaani iwe iweje ni Mkatoliki!
Ulevi sio tatizo sana Kama ana akili kubwa ! Mbona ma Rais wengi tu walikuwa wanautwika na bado wanatawala Nchi kubwa tu na nyingine ni Super power Kama Urusi alikuwepo Boris Yeltsin! Baadhi ya ziara zake zilikuwa zinaakhirishwa akiwa angani kwa sababu anakuwa amelewa sana !! Hatari sn !!!Kama list ndio hiyo kwa nini hujamtaja Piere Likwidi?.
Subiri aliwe kichwa halafu uchafu wake uwekwe hadharani ndipo utajua nani ni mpinzani na nani ni mzalendo na mtetezi wa kweli wa taifa hili.Sasa kama fact anazo DSO na RSO kwann shutuma ulete wewe? Au ulifikiri kila mtu ana kichwa cha kupokea matapishi ya wapinzani uchwara?
Ni Tundu Lissu pekeeHabari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .