Sandiego
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 1,288
- 2,075
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanasema alienda kwenye majaribio ila akawahi kurudi kwaajili ya mechi ya Simba Vs Yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanasema alienda kwenye majaribio ila akawahi kurudi kwaajili ya mechi ya Simba Vs Yanga
Mbwana Samata. Simpo.Nimekaa na wazee hapa, wanabishana kuwa Sunday Manara "Computer" ndiye mchezaji bora kabisa kuwahi kutokea nchini Tanzania.
Ila miongoni mwao wapo wanaosema hakuna kama Edibily Jonas Lunyamila. Wakakosoa Lunyamila amecheza timu gani Ulaya? Mashabiki wa Lunyamila kimyaaa...
Mimi nimekaa zangu kimya, maana jina linalonijia kichwani ni Mbwana Samatta. Kwangu nafikiri ndio mchezaji bora wa muda wote kutoka Tanzania.
Haya wanajukwaa, tujadiliane hapa nani ni mchezaji bora kuwahi kutokea hapa Tanzania?
Karibuni kwa mjadala...
Kuna rasta mmoja kitaani anaupiga sana. Hajacheza ulaya, ni ni bora?Lunyamila hana mpinzani hapa. Kucheeza ulaya sio kigezo pekee cha mtu kuwa bora. Wapo wachezaji wengi wazuri lakin hawakupata hiyo fursa ya kucheza ulaya kwa sababu mbalimbali mf lunyamila, mohamed Hussen, athuman machupa na wengine wengi. So leo hii ninja aingie kwenye all times best player kwa kuwa yuko US anacheza na Ibra?
Lunyamila hana mpinzani hapa. Kucheeza ulaya sio kigezo pekee cha mtu kuwa bora. Wapo wachezaji wengi wazuri lakin hawakupata hiyo fursa ya kucheza ulaya kwa sababu mbalimbali mf lunyamila, mohamed Hussen, athuman machupa na wengine wengi. So leo hii ninja aingie kwenye all times best player kwa kuwa yuko US anacheza na Ibra?
Samatta ana kipaji, ana uwezo kutembea na kijiji bila shida,
Msuva ana kipaji, ana speed, mshapu, mbio ndio silaha yake kubwa.
Hakuna bora wa muda wote kati ya hawa wawili labda hao Akina Lunyamila na Manara.
Kama kigezo ni kucheza ulaya basi wafuatao ni bora kuwahi kutokea Machupa, Credo Mwaipopo, Shekhan Rashid, Joseph Kaniki
Huyu jamaa enzi zake alikuwa moto .. acha sasa hv ale misele uwanjaniTakwimu zinaonyesha Mrisho Ngasa kacheza mechi 100 na taifa stars kafunga magoli 25
Wengine sijui
Kumbe Lunyamila alikuwa baharia kiasi hichoKama ulibahatika kumuona GiGGS katika ubora wake basi umemuona Lunyamila, Sitosahau Lunyamila alipo wafunga Kagera Sugar goli sita kutoka mguuni mwake pale shamba la bibi katika ushindiwa 8-0 walioupata Yanga.
Hizi zilikua hasira za Lunyamila baada ya kutoitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa kilichokua chini ya Marehemu kocha Zacharia Kinanda ambaye pia alikua akiifunndisha Kagera Sugar kwa wakati huo.
Kinanda alidai Lunyamila alikua mchezaji wa kawaida kama wengine ambao hakuwajumuisha katika timu ya taifa aliyo ichagua.
Aseeh kwaumri wangu huyu mwamba namkubali mpaka kesho!!Kwa mimi wa 2005 mchezaji bora kuwahi kutokea bongo ni 'Athumani Iddi Chuji'
Fundi wa mpiraBoban hana mpinzani