mokala1989
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 2,236
- 728
acha ushamba wewe, ni chuo cha elimu ya kati kinachotambulika na NACTE, na kina waalimu waliobobea siyo hivyo vyuo vyenu vya kata!hiyo mifugo mpwapwaa ni chuo au kituo cha mifugo kama ni chuo kipo under TCU kweli...?
haya elekea kwenye vyuo vyenu vya kata mnavyofundishwa na mliolingana nao elimu, utakuwa udom au kisanjo wewe!
jaman msione aibu kusema hadharan kuwa umechaguliwa UDOM mbona mm nimejitokeza!, wakiponde eti cha kata hainitishi,najua maneno ya mkosaji 2, tukotane october UDOM, I LOVE U UDOM.
acha ushamba wewe, ni chuo cha elimu ya kati kinachotambulika na NACTE, na kina waalimu waliobobea siyo hivyo vyuo vyenu vya kata!
umebahatika DAHP au CAHP mkuu? nayo siku hizi ni hot cake sana. je umepata sponsor?
hiyo mifugo mpwapwaa ni chuo au kituo cha mifugo kama ni chuo kipo under TCU kweli...?
unadhani me wa chuo cha kata jiangalie wewe..
ndugu nimemaliza form six 2008 Tosamaganga nina div 3 ya PCB,nimeenda mifugo sababu malengo yakwenda medicine hayajatimia,mimi nishafanya kazi sana sales coca coca na salary nilikua nafunga zaidi ya m kwa mwezi ila hakuna job security na ndivyo private zilivyo so naenda mifugo kwanza nipate kazi serikalini pili kipato huku mifugo inazidi mpaka baadhi ya salary kwa wenye degree,so siendi huku kisa sina sifa za TCU naenda sababu ni kitu nakipenda napenda sayansi na daima nitadeal na upande huu tu,maisha Tanzania si ya kukariri ni kucheza na opportunities zilizopo,funguka akili ndugu
usinilaumu, wewe mwenyewe unajidhihirisha na posts zako za kitoto.
Mkuu nina mashaka na wewe mimi kama nina post za kitoto wewe zako za kishamba mwenye hii thread alilenga ishu za UDOM wewe na ushamba wako ukaropoka suuuuuaaaaaaaaaaaa nani mtoto hapo.
kama nchi tuna maadui wengi hamna haja ya kubishania taasisi za elimu ya juu, hata hivyo wote ni watanzania na watatutumikia sote bila kujali katoka udom, udsm au mzumbe, jioni njema!
Suaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Wakati wasomi wa nchi nyingine wanafikiria namna gani ya kusaidia nchi zao. Tanzania wasomi wake wanafanya comparative analysis between universities. This is terrible and a sign of immaturity.
acha makelele je ungepata udsm c ungekuwa chiz
i love u udsm muce
udsm ya nini? mimi nimechaguliwa Bachelor of Veterinary Medicine, UDSM ipo?