✳️ NI ZAMU YETU DAR ES SALAAM, TUKAJIANDIKISHE TUWEZE KUPIGA KURA UCHAGUZI MKUU
Zoezi la kuboresha taarifa na kujiandishika katika Daftari la kudumu la Mpiga Kura litaendelea kwa mkoa wa Dar es Salaam kuanzia Machi 17 hadi 23, 2025.
Issa Rajabu Risasi mkazi wa Kawe amewaomba watu wenye sifa za kushiriki zoezi hilo kujitokeza ili mwananchi kuweza kupata haki ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Mshtue Baba, Mama, Dada, Kaka, Babu na Bibi ili wote muda ukifika Dar es Salaam nzima Twende Tukajiandikishe.
#tokanitoketwendetukajiandikishe
#kazinaututunasongambele
#tunazimazotetunawashakijani
Zoezi la kuboresha taarifa na kujiandishika katika Daftari la kudumu la Mpiga Kura litaendelea kwa mkoa wa Dar es Salaam kuanzia Machi 17 hadi 23, 2025.
Issa Rajabu Risasi mkazi wa Kawe amewaomba watu wenye sifa za kushiriki zoezi hilo kujitokeza ili mwananchi kuweza kupata haki ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Mshtue Baba, Mama, Dada, Kaka, Babu na Bibi ili wote muda ukifika Dar es Salaam nzima Twende Tukajiandikishe.
#tokanitoketwendetukajiandikishe
#kazinaututunasongambele
#tunazimazotetunawashakijani