Pre GE2025 Ni zipi faida na hasara za kugomea au kususia uchaguzi wa kisiasa?

Pre GE2025 Ni zipi faida na hasara za kugomea au kususia uchaguzi wa kisiasa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
watu kushinda jimbo bila upinzan hii sio sawa kwasababu huwa wanabwetek na kuanza kufany vitu vya ovyo
i hope itarekebishwa kwenye katiba mpya baada ya uchaguzi mkuu2025 :pulpTRAVOLTA:
 
Ndugu zangu wananchi wote, wanasiasa, wadau wa demokarisia, uhuru, haki na usawa, wanaharakati na makundi mbalimbali ya kijamii, kiuchumu na kisiasa, hamjambo? Nawasalimu Nyote kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania....:NoGodNo:

Katika historia ya siasa za vyama vingi Africa Mashariki, hususani Tanzania, Kenya na Uganda, pamekuapo mitindo mbalimbali ya kuwasilisha maoni, mitazamo ya kisiasa, hisia na pengine kupaza sauti kuonyesha kutokuridhika kwa vyama vya siasa juu ya mambo yalivyo au yanavyokwenda dhidi ya wanavyotaka au kuona wao wana siasa inafaa na kwahivyo hutumia maandamano na migomo, kuzira na kususia mambo kadha wa kadha ikiwa ni pamoja na uchaguzi:pulpTRAVOLTA:

Je, ni nini hasa faida za kuandamana, kususa au kugomea uchaguzi tukichukulia mfano wa Kenya na Tanzania, kwa Africa Mashariki?

Pamoja na faida hizo, Je, kuna hasara yoyote wanao susa au kugomea chaguzi wanazipata na kuwaathiri katika medani au majukwaa ya kisiasa?

MUNGU IBARIKI DEMOKRASIA UHURU, HAKI NA USAWA KATIKA SIASA ZA AFRICA MASHARIKI AIMEN...

Pia soma:Kuelekea 2025 - Je, CHADEMA Inapaswa Kushiriki Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa Bila Tume Huru Ya Uchaguzi na Katiba Mpya?
Wananchi tunajua ccm mmetunga sheria na kanuni mbovu za uchaguzi, rekebisheni hizo kanuni za tume huru ya uchaguzi ziwe huru kweli kweli .

Mamlaka nyingine iliyo kubwa kuliko uwezo wa ccm nayo ikitumia na kutii sheria na kanuni zake tofauti na hizo zenu za kitumwa kwa ajili ya uchaguzi ujao msilaumu .
 
Wananchi tunajua ccm mmetunga sheria na kanuni mbovu za uchaguzi, rekebisheni hizo kanuni za tume huru ya uchaguzi ziwe huru kweli kweli .

Mamlaka nyingine iliyo kubwa kuliko uwezo wa ccm nayo ikitumia na kutii sheria na kanuni zake tofauti na hizo zenu za kitumwa kwa ajili ya uchaguzi ujao msilaumu .
binafsi sifahamu,
wala sina hakika na huo ubovu unao usema kufanywa na chama unacho kisingizia kuhusu hizo sheria....

nina hakika wananchi wa Tanzania, kupitia wawakilishi wao bungeni ndio wamehuisha sheria na kanuni zitakazo tumiwa na Tume Huru ya Uchaguzi kusimamia na kuendesha uchaguzi huru, wa haki na wazi kwa mustakabali mwema wa amani ya MAMA TANZANIA :pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom