GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Ni jamii ya wapi hiyo nije huko.Ndio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni jamii ya wapi hiyo nije huko.Ndio
inamana mwaza mwanaume walizaa nguruwe sio???Mahari inasimama kama alama ya shukrani kutoka kwa familia inayooa kwenda kwa familia ya muolewaji....na sio biashara kama inavyotaka kutafsirika na Wana harakati za usawa ....ni mkono wa pongezi kwa wazaa chema ....
Imani yngu ya Dini.Ni jamii ya wapi hiyo nije huko.
Watatuua mbwa hawa.Kisa wamelipiwa mahari.Mahari milioni mbili halafu mtu anakupikia chapati ngumu kuliko maisha yako....Mahari zifutwe.
Sijalielewa swali lako ndugu......inamana mwaza mwanaume walizaa nguruwe sio???
Kwani akizika yeye kunakitu chochote ananufaika labda?Kuna kijana wiki iliyopita kafiwa na mkewe wakati wakujifungua mtoto katoka salama ila mama kafariki.
Kimbembe kimeanzia hapo kijana kanyag'anywa maiti ya mke wake Lisa hana uhalali wa kumzika Lisa hajatoa mahali walikuwa wanaishi kiholela
Mmmh,hiyo hera kwa wazazi wa sasa hivi ukiwapa wanakutupia nayo usini kwa kweli, bila millioni kadhaaa, sidhaniMahari ni heshima
Ni kutengeneza kutambulika na kujipendekeza kwa muoaji.
Ila ni ujinga kutoa mahari zaidi ya laki 5 kwa miaka hii hasa kwa kijana muoaji ambae hana hata nyumba yake mwenyewe ya kuishi
Binti wa Kichaga mahari milion 7 alafu wakati wa sex hajui kuchezea mapumb anayavuta utafikili anawasha jenereta.Mahari milioni mbili halafu mtu anakupikia chapati ngumu kuliko maisha yako....Mahari zifutwe.
Ni chema pia😊Mume sio chema?
Ni kwa sababu binti akiolewa, anahamia kwa familia/ukoo wa mume, na watoto anaozaa ni wa familia/ukoo wa mume, so huko kwa mume kunaongezeka..Nisababu zipi za msingi zinazuia wazazi wamume wasipewe shukurani na wapewe wa mke tu.
Wazazi wa binti watajuaje kama anayo au kuna baharia ashafanya yake?!Mahari ni shukrani kwa mwanamke mwenye bikra tu,
Ukitoa mahari kwa mwanamke asiye na bikra hayo yanakuwa ni matumizi mabaya ya pesa
Kmmmmk dah😂😂😂😂😂😂Binti wa Kichaga mahari milion 7 alafu wakati wa sex hajui kuchezea mapumb anayavuta utafikili anawasha jenereta.
#mahali ifutwe.
Kwahio baba mkwe anakuuzia kiwanda au sioNi chema pia😊
Ni kwa sababu binti akiolewa, anahamia kwa familia/ukoo wa mume, na watoto anaozaa ni wa familia/ukoo wa mume, so huko kwa mume kunaongezeka..
Habari za jioni wapendwa katika bwana.
Jamii nyingi za Kiafrika wanao utaratibu wa mwanaume kutoa mahari ili aweze kumuoa binti.
Baadhi ya watu husema mahari ni kama shukurani kwa wazazi wa mke, je hawa wazazi wamume ambao wamezaa kichwa cha familia mbona hawapewi shukurani?
Naomba kuelimishwa mahari ninayotoa inamsaada gani kwangu, Mkewangu na watoto.
Kulingana na ugumu wa maisha haswa bara la Africa kuna haja ya kuendelea na huu utaratibu?
Shukrani ya kupangiwa?Mahari inasimama kama alama ya shukrani kutoka kwa familia inayooa kwenda kwa familia ya muolewaji....na sio biashara kama inavyotaka kutafsirika na Wana harakati za usawa ....ni mkono wa pongezi kwa wazaa chema ....
[emoji23][emoji23][emoji23]dah taratibu basiKmmmmk dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂Kwahio baba mkwe anakuuzia kiwanda au sio