Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninajua faida ndogondogo zipo, kama biashara za Mahoteli nk. Lakini ningependa kujua ni ipi faida kubwa kwa Mkoa na Taifa kiujumla.
Upumbavu wa yule failureNinajua faida ndogondogo zipo, kama biashara za Mahoteli nk. Lakini ningependa kujua ni ipi faida kubwa kwa Mkoa na Taifa kiujumla.
Kula , kuenjoy koneksheniNinajua faida ndogondogo zipo, kama biashara za Mahoteli nk. Lakini ningependa kujua ni ipi faida kubwa kwa Mkoa na Taifa kiujumla.
Tuache Roho ya chuki.Na vijana sijui hata kama walikumbuka kuchapisha t-shirt za Land Rover wakaziuza
Au aliamka tu akasema wiki ijayo kuna parade la magari?
Kuitangaza mkoa na taifa kjumla maana mpaka BBC walikuwa wameiongelea bas pasna shaka Tz imeingia kweny recod kwa Africa na dunia kwa ujumla mitoko kama izi syo ti ulaya hata Africa wanaweza fanyaNinajua faida ndogondogo zipo, kama biashara za Mahoteli nk. Lakini ningependa kujua ni ipi faida kubwa kwa Mkoa na Taifa kiujumla.
Kubwa kuliko zote ni hii uifanyayo wewe sasa hivi. Kuiongelea Arusha.Ninajua faida ndogondogo zipo, kama biashara za Mahoteli nk. Lakini ningependa kujua ni ipi faida kubwa kwa Mkoa na Taifa kiujumla.
Unashauri na la kizimkazi likemewe?Hakuna faida, matokeo ni upumbavu, ujinga, uwendawazimu, ukichaa, ufala, ushenzi, nk kwa kilichofanyika.
NAISHANGAA CHAMA CHANGU CCM KUTOKEMEA KILICHOFANYIKA!
God Bless Tanganyika.
Mishangazi ya kutosha kuanzia Gran melia mpaka kibo palaceNinajua faida ndogondogo zipo, kama biashara za Mahoteli nk. Lakini ningependa kujua ni ipi faida kubwa kwa Mkoa na Taifa kiujumla.
Pole kwa maumivu yako.Hakuna faida, matokeo ni upumbavu, ujinga, uwendawazimu, ukichaa, ufala, ushenzi, nk kwa kilichofanyika.
NAISHANGAA CHAMA CHANGU CCM KUTOKEMEA KILICHOFANYIKA!
God Bless Tanganyika.