Ni zipi faida zilizopatikana kwa kufanyika kwa Arusha Land Rover Festival 2024

Ni zipi faida zilizopatikana kwa kufanyika kwa Arusha Land Rover Festival 2024

Tuache Roho ya chuki.
Tamasha lilitangazwa tokea Mwezi Jun yaaani miezi 4 kabla.
Kwa kifupi Land Rover zimeiingiza Tanzania kwenye rekodi za Guiness tumevunja rekodi ya Mjerumani aliyefanya the same parade kwa gari 632. Arusha zimefika Londo 1200+ .
Haters kazi kwenuuu
Sikulijua hilo na sina roho mbaya
Mimi binafsi nimeliona kwenye mitandao siku kadhaa zilizopita
Unafikiri mwenye roho mbaya anaweza kuweka idea hapa 😄 boss
Uchaguzi huwa unaona wanatangaza miaka unajua kwa nini
 
Ninajua faida ndogondogo zipo, kama biashara za Mahoteli nk. Lakini ningependa kujua ni ipi faida kubwa kwa Mkoa na Taifa kiujumla.
Magari 300 pekee kuingia mbuga ya Arusha sio pesa haba.

Bado watalii zaidi ya 600 kwani gari moja ina watu ai chini ya wawili, hii ni pesa ndefu sana kwa siku moja
 
Sikulijua hilo na sina roho mbaya
Mimi binafsi nimeliona kwenye mitandao siku kadhaa zilizopita
Unafikiri mwenye roho mbaya anaweza kuweka idea hapa 😄 boss
Uchaguzi huwa unaona wanatangaza miaka unajua kwa nini
Land Rover wenyewe kuna kitu wamakifanya ktk kufanikisha zoezi hili ikumbukwe kwao ilikuwa big promotion
 
Kuchangamsha fikra ya kufanya mazuri zaidi,lakini pia kutoa hamasa kwa wakuu wa mikoa wengine waweze kuangalia namna Gani wanaweza kutumia fursa katika maeneo Yao kuchangamsha uchumi na maendeleo.
 

Attachments

  • IMG-20241013-WA0036.jpg
    IMG-20241013-WA0036.jpg
    114.1 KB · Views: 3
  • IMG-20241013-WA0035.jpg
    IMG-20241013-WA0035.jpg
    108.1 KB · Views: 3
  • IMG-20241013-WA0033.jpg
    IMG-20241013-WA0033.jpg
    111.9 KB · Views: 3
  • IMG-20241013-WA0030.jpg
    IMG-20241013-WA0030.jpg
    88.1 KB · Views: 2
  • IMG-20241013-WA0029.jpg
    IMG-20241013-WA0029.jpg
    117 KB · Views: 2
  • IMG-20241013-WA0028.jpg
    IMG-20241013-WA0028.jpg
    90.4 KB · Views: 3
  • IMG-20241013-WA0025.jpg
    IMG-20241013-WA0025.jpg
    67 KB · Views: 3
  • IMG-20241013-WA0026.jpg
    IMG-20241013-WA0026.jpg
    112.1 KB · Views: 4
wanaume wa dar wanashida sana...
 
Land Rover wenyewe kuna kitu wamakifanya ktk kufanikisha zoezi hili ikumbukwe kwao ilikuwa big promotion
Sana boss tena inawezekana wao ndio wameandaa hii au Ubalozi
Ingawa JLR inamilikiwa na TATA labda ni wahindi, Makonda anajua zaidi
 
Mimi nimeona kumekua na faida nyingi, hizi ni baadhi
1. Kutangaza utalii wa Tanzania kupitia (Arusha)

2. Kuitangaza Tanzania, kupitia kuvunja record 3 za Guinness ya land rovers zaidi ya 1000 kukusanyika pamoja, ku park pamoja na msafara mrefu wa land rover

3. Shughuli za kiuchumi zimeingiza pato la mtu mmoja mmoja mpaka kwa Serikali, kupitia uuzaji wa mafuta diesel, petrol, chakula, hotels, usafiri, n.k

4. Tamasha limewaunganisha watu pamoja, washikadau mbalimbali networking na connection nyingi chanya zimefanyika.
 
Kuchangamsha fikra ya kufanya mazuri zaidi,lakini pia kutoa hamasa kwa wakuu wa mikoa wengine waweze kuangalia namna Gani wanaweza kutumia fursa katika maeneo Yao kuchangamsha uchumi na maendeleo.
Hili ni la muhimu sana sana.
 
Faida ni kwamba dunia imeona Tanzania kuna uhuru wa kuandamana kama wewe ni SISIM
 
Tuache Roho ya chuki.
Tamasha lilitangazwa tokea Mwezi Jun yaaani miezi 4 kabla.
Kwa kifupi Land Rover zimeiingiza Tanzania kwenye rekodi za Guiness tumevunja rekodi ya Mjerumani aliyefanya the same parade kwa gari 632. Arusha zimefika Londo 1200+ .
Haters kazi kwenuuu
OK. Kwahiyo faida kubwa ni kuingia kwenye record za Guinness. Naomba kujua faida ya hii record kwetu sisi. Au ujiko tu
 
Kuchangamsha fikra ya kufanya mazuri zaidi,lakini pia kutoa hamasa kwa wakuu wa mikoa wengine waweze kuangalia namna Gani wanaweza kutumia fursa katika maeneo Yao kuchangamsha uchumi na maendeleo.
Mikoa mingine sio rahisi kufanya kama Arusha. Kwa Arusha Makonda amefanikiwa kwasababu jamaa wengi wa kule ni waelewa sana na wana uzungu fulani hivi. Mikoa mingine ukileta idea kama hii ujue UTABEZWA NA KUPIGWA MAJUNGU UKOME
 
Ninajua faida ndogondogo zipo, kama biashara za Mahoteli nk. Lakini ningependa kujua ni ipi faida kubwa kwa Mkoa na Taifa kiujumla.
Wewe jamaa pambania maisha yako...ushataja faida zilizopatikana alafu unataka faida kubwaa kwani hizo landlover zilikuwa zinauzwa si wanaonyeshana alafu wananunua tuvinywaji na vyakula kwa wajasiliamali?
 
Upumbavu wa yule failure
Ukiona hivyo hayo ndo maono yake yanapoishia

Maono ya form four failure
Sikubaliani na Makonda kwa mambo kadhaa ila kwa hili jamaa kajitahidi.

Ni wazo zuri.

Anakosea ila kuna ambayo anayapatia.
 
Back
Top Bottom