Ni zipi njia za kudumu za kuondokana na tatizo la mbu?

Ni zipi njia za kudumu za kuondokana na tatizo la mbu?

Kamata mmoja then mwadhibu mbele ya kadamnasi, hapo na wengine watakuogopa
 
Wasalaam,

Moja kati ya changamoto ambayo imekuwa ikinisumbua sana ni changamoto ya mbu nyumbani kwangu, ingawa kwa sehemu kubwa hili ni tatizo la maeneo mengi ya hapa Dar.

Nimekuwa nikijaribu kutafiti njia mbalimbali za kuondokana na mbu lakini mpaka sasa sijapata ufumbuzi wa kudumu.

Naomba kwa yeyote mwenye ujuzi wa njia hizo, anisaidie na naamini wengi pia bila shaka watasaidika na njia ambazo tunaweza kuondoka na tatizo la mbu majumbani kwetu.

Natangulia shukrani zangu za dhati.
Hizi dawa za kupaka mosquito repellent moja ya material yake ni michaichai,,
Kuna vifaa vya umeme huwa vinavuta na kuwanasa mbu.
Kama sikosei kuna apps za kutoa milio fulani ambayo, mbu hawapendi, etc
 
Back
Top Bottom