NIA YA KUWASHTAKI TALA NA BRANCH TANZANIA

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Nipo kwenye mkakati wa kuyafungulia mashtaka haya makampuni mawili ya Fedha kwa kuniibia MB bila ridhaa yangu maana kila nikiwasha data, wananijazia matangazo yao tena yana-play automatic hivyo kula MB
nipo katika mkakati wa kutafuta mwanasheria.

MLIO KARIBU NAO WAFIKISHIENI SALAMU ZANGU.
 

Ila ni maada sahihi kwa wakati sahihi na kwenye jukwaa sahihi
Ukienda kuwashtaki nisaidie na mm kunishatakia tigo wananitumia messages pasipo ridhaa yangu wananipigia na matangazo tao wanavyotaka mpaka inanibidi simu kuweka silent nikiogopa kuumbuka mbele za watu
 
wanatakiwa kulipia tangazo
 
by registering you agree with tala terms&conditions na blah blah nyingine wewe huwa una click tu bila kusoma vigezo na masharti? na mashrti yenyewe ndo kama hayo
 
Shule zinafungulima trh 7, mwana jf tuendelee kuwavumilia hawa watoto kwa hich kipindi cha mpito
 
kinachoumiza zaidi mpka adsence zao zinaziba screen ya simu na baada ya whatsapp kuanza kuweka adsence imekua kero sasa... kuna apps special kwa ajili ya kuziblock adsence zinapatikana playstore lakini inakulazimu kuilipia ndio udownload lakini kuna app inayodownload application zote bure.. yote hayo ya nini kusumbuka cha muhimu ni kuzungumza na watoaji wa huduma wa simu yako maana wao pia wana nafasi kubwa katika kuwaruhusu hao tala na branch bila kusahau zile sms za game lounge na zile call za tigo
....kutumiwa taarifa bila hiari yangu ni kosa pia wanabidi wanilipe kama wao wanavyowalipa hao
 
by registering you agree with tala terms&conditions na blah blah nyingine wewe huwa una click tu bila kusoma vigezo na masharti? na mashrti yenyewe ndo kama hayo
SHENZI SANA HAWA JAMAA
 
by registering you agree with tala terms&conditions na blah blah nyingine wewe huwa una click tu bila kusoma vigezo na masharti? na mashrti yenyewe ndo kama hayo
mkuu hapo unakuta hujajiunga na huna huo mpango, ukiwasha data tuu Tala ,Branch , five to ten secs linakuwa na option ya kuskip , shenzi zao
 
Nilikaa na deni yule mkaka akanipigia kuniuliza nitalipa lini deni lao.
Nikamwambia hapa niliko niko Airport naenda Uk.
Na namba nabadili, labda nikirudi.
Ila sie wakopaji samtaim jeuri sana tupatapo mkopo
Hahaha.... Nimecheka mno aiseeeh. Yaani kukopa arusi kulipa matanga lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…