EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Nipo kwenye mkakati wa kuyafungulia mashtaka haya makampuni mawili ya Fedha kwa kuniibia MB bila ridhaa yangu maana kila nikiwasha data, wananijazia matangazo yao tena yana-play automatic hivyo kula MB
nipo katika mkakati wa kutafuta mwanasheria.
MLIO KARIBU NAO WAFIKISHIENI SALAMU ZANGU.
nipo katika mkakati wa kutafuta mwanasheria.
MLIO KARIBU NAO WAFIKISHIENI SALAMU ZANGU.