Nia ya mheshimiwa Rais ni njema, turekebishe mapungufu yaliyoonekana ili DPW aanze kazi haraka hapo bandarini.

Hakuna KAZI itaanza,

Ufutwe kwanza mkataba huu BATILI na FAKE,

Tuweke Bango kubwa pale Lango la Jiji kuwa:

" MALI YA URITHI HAIUZWI Wala HAIKODISHWI". Epuka matapeli🙏🙏🙏
 

Kwa ilipofikia haiwezekani kurekebisha kwa sababu itaonekana walisaini bila maarifa na tayari kuna ushindani na hakuna upande uliotayari kushindwa na kwa taarifa tu hawakujua kama itafikia hapa palipofikia. Huko ndani kuna mengi sana hivi nani alivujisha mkataba huu? Aliyevujisha ni kwakuwa tu hanufaiki ila upigaji wa namna hii ipo kila sehemu na ndivyo watu wanavyotajirika. Vyanzo vyote vya mapato,mapato 30% yanaenda huko sijui b.o.t ila zingine zote watu wanakula na asilimia chache wanapeleka kwenye mwamba wa msimbazi ulioanzia lusaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…