Niagize chochote Dubai

Niagize chochote Dubai

Ndugu zangu awali ya yote ni washukuru Wana jamiiforums wote ambao mliguswa na changamoto yangu iliyo nikuta ambayo ilipelekea kuandika Uzi uliotafsiliwa kama nimekata tamaa😭😭😭 Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Kwakweli kipindi naandika huo Uzi nilikuwa kwenye msongo mkali sana wa mawazo...! Kwasasa akili yangu imetulia...!

Miaka 3 ilivyo pita nilikuwa natafuta fursa za kazi nchi za nje...kwa bahati nzuri mwaka huu Nika bahatika kupata safari kwenye falme za kiarabu huku Dubai kwa hivi sasa nipo Dubai napambana Uzi wangu huu ni rejea nzuri 🤣🤣🤣🤣

Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

Huku Dubai Kuna fursa za bidhaa nyingi ambazo bei zake ni za Hali ya chini sana...hivyo kama Kuna wafanya biashara/mfanyabiashara anahitaji bidhaa yoyote kutoka Dubai Nina weza Nika kusaidia kwa niaba Yako nikakununulia bidhaa unayo itaka na kukutumia ndani ya muda mchache.

Kwa bidhaa chache ndani ya masaa 72 unakuwa umepata mzigo wako...!

Hivyo hakuna aja ya wewe kufunga safari kuja huku...nipo nitafanya hivyo kwaajili Yako...!

View attachment 2990271
Mnao hitaji simu, perfume za aina zote, computer, vifaa vya magari, vifaa vya umeme niagize nitakutumia mzigo wako ndani ya muda mchache kwa uaminifu wa Hali ya juu...!

Kwa mawasiliano mnaweza kunipata kwa namba zangu za Whatsapp +971581480619...!

Au kama unacho kifurushi Cha international call unaweza kunipata kwa namba hizo hizo +971581480619...!

View attachment 2990274
Hongera sana mkuu
 
Sio kama huku picha kama hii ukaipigie Mwanga Tower pale Makumbusho 😄
Acha ndugu yangu warabu wameendelea pesa wanazo na wanajua jinsi ya kunitumia...,!
IMG_20240512_211611_4.jpg
 
Maghayo The Mongolian Beast yuko mamtoni muda mrefu ila mafanikio yake mkubwa ya kuwasaidia watanzania ni kuanzisha kikundi Cha kihuni humu Jf ambacho kinaitwa "THE GHAYOS GANG" humo anatoa connection za bange kwa vijana wake wakina The Stress Challengerr , The Mongolian Savage and others pamoja na kuchochea harakati za kihuni humu.

Au nasema uongo Satoh Hirosh na Dumas the terrible ?
Tulia wewe Sunni umekatazwa kuhudhuria msiba wa rais wa Iran Ebrahim Rais mshia.

Peace be upon our Imam NOT the prophet.
 
Maghayo The Mongolian Beast yuko mamtoni muda mrefu ila mafanikio yake mkubwa ya kuwasaidia watanzania ni kuanzisha kikundi Cha kihuni humu Jf ambacho kinaitwa "THE GHAYOS GANG" humo anatoa connection za bange kwa vijana wake wakina The Stress Challengerr , The Mongolian Savage and others pamoja na kuchochea harakati za kihuni humu.

Au nasema uongo Satoh Hirosh na Dumas the terrible ?
Kabisa mkuu.

Serikali iingilie kati kuhusu kikundi hiki cha vijana wa hovyo cha "Ghayos gang' kikiongozwa na mkalidayo,the Mongolian savage Maghayo muhuni mmoja kutoka kule chini ya mlima Kilimanjaro.
 
Maghayo The Mongolian Beast yuko mamtoni muda mrefu ila mafanikio yake mkubwa ya kuwasaidia watanzania ni kuanzisha kikundi Cha kihuni humu Jf ambacho kinaitwa "THE GHAYOS GANG" humo anatoa connection za bange kwa vijana wake wakina The Stress Challengerr , The Mongolian Savage and others pamoja na kuchochea harakati za kihuni humu.

Au nasema uongo Satoh Hirosh na Dumas the terrible ?
True true huyu Maghayo na genge lake wadhibitiwe hapa Jamhuri ya JF
Ni wasumbufu tukiendelea kuwafumbia macho watakuja kuleta ugaidi wa Kikaldayo maana wakaldayo walikua walozi wa kutupwa
Mpaka Mfalme Nebuchadnezzar alitaka kuwakata vichwa baada ya kushindwa tafsiri ndoto ya Mfalme bahati yao Kubwa la Mayahudi Nabii Daniel akayakoa kibahati bahati na bahati yao yaani!
😁😁
 
Ndugu zangu awali ya yote ni washukuru Wana jamiiforums wote ambao mliguswa na changamoto yangu iliyo nikuta ambayo ilipelekea kuandika Uzi uliotafsiliwa kama nimekata tamaa😭😭😭 Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Kwakweli kipindi naandika huo Uzi nilikuwa kwenye msongo mkali sana wa mawazo...! Kwasasa akili yangu imetulia...!

Miaka 3 ilivyo pita nilikuwa natafuta fursa za kazi nchi za nje...kwa bahati nzuri mwaka huu Nika bahatika kupata safari kwenye falme za kiarabu huku Dubai kwa hivi sasa nipo Dubai napambana Uzi wangu huu ni rejea nzuri 🤣🤣🤣🤣

Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

Huku Dubai Kuna fursa za bidhaa nyingi ambazo bei zake ni za Hali ya chini sana...hivyo kama Kuna wafanya biashara/mfanyabiashara anahitaji bidhaa yoyote kutoka Dubai Nina weza Nika kusaidia kwa niaba Yako nikakununulia bidhaa unayo itaka na kukutumia ndani ya muda mchache.

Kwa bidhaa chache ndani ya masaa 72 unakuwa umepata mzigo wako...!

Hivyo hakuna aja ya wewe kufunga safari kuja huku...nipo nitafanya hivyo kwaajili Yako...!

View attachment 2990271
Mnao hitaji simu, perfume za aina zote, computer, vifaa vya magari, vifaa vya umeme niagize nitakutumia mzigo wako ndani ya muda mchache kwa uaminifu wa Hali ya juu...!

Kwa mawasiliano mnaweza kunipata kwa namba zangu za Whatsapp +971581480619...!

Au kama unacho kifurushi Cha international call unaweza kunipata kwa namba hizo hizo +971581480619...!

View attachment 2990274
Bado uko huko?
 
Dah
View attachment 2994867
Huku Kila sehemu ni pazuri 🤣🤣🤣
Dah mwamba Mhando siamini Kama ushaiacha ardhi ya Bibi yetu sema nini pambana bro najua soon utanenepa maana ulikonda bro kwa mawazo ya kishetani ssa usiyawaze huko bro .
Ila ukipanga kurudi niletee hata kabia ka elfu hamsini nitashukuru sana
 
Back
Top Bottom