X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #101
Kibunda chako tu mwanangu...kama una pesa nitafute nita ku guide...!Oya IDDY S MHANDO fanya na Mimi nije huko kula Bata mwanangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibunda chako tu mwanangu...kama una pesa nitafute nita ku guide...!Oya IDDY S MHANDO fanya na Mimi nije huko kula Bata mwanangu
Yap...bongo to DubaiHii nzuri nimeipenda.
Go to Dubai
Niandae kiasi gani?Kibunda chako tu mwanangu...kama una pesa nitafute nita ku guide...!
Hata million 10 kwa kula bata tu inakutosha kuja huku kukaa siku 4 na kurudiNiandae kiasi gani?
Naomba connection ya huyo gaidi nyuma yako tafadhali....mkwanja mnono utapata tu, usihofu ila asije tu na mabomu.Ndugu zangu awali ya yote ni washukuru Wana jamiiforums wote ambao mliguswa na changamoto yangu iliyo nikuta ambayo ilipelekea kuandika Uzi uliotafsiliwa kama nimekata tamaa😭😭😭 Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!
Kwakweli kipindi naandika huo Uzi nilikuwa kwenye msongo mkali sana wa mawazo...! Kwasasa akili yangu imetulia...!
Miaka 3 ilivyo pita nilikuwa natafuta fursa za kazi nchi za nje...kwa bahati nzuri mwaka huu Nika bahatika kupata safari kwenye falme za kiarabu huku Dubai kwa hivi sasa nipo Dubai napambana Uzi wangu huu ni rejea nzuri 🤣🤣🤣🤣
Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu
Huku Dubai Kuna fursa za bidhaa nyingi ambazo bei zake ni za Hali ya chini sana...hivyo kama Kuna wafanya biashara/mfanyabiashara anahitaji bidhaa yoyote kutoka Dubai Nina weza Nika kusaidia kwa niaba Yako nikakununulia bidhaa unayo itaka na kukutumia ndani ya muda mchache.
Kwa bidhaa chache ndani ya masaa 72 unakuwa umepata mzigo wako...!
Hivyo hakuna aja ya wewe kufunga safari kuja huku...nipo nitafanya hivyo kwaajili Yako...!
View attachment 2990271
Mnao hitaji simu, perfume za aina zote, computer, vifaa vya magari, vifaa vya umeme niagize nitakutumia mzigo wako ndani ya muda mchache kwa uaminifu wa Hali ya juu...!
Kwa mawasiliano mnaweza kunipata kwa namba zangu za Whatsapp +971581480619...!
Au kama unacho kifurushi Cha international call unaweza kunipata kwa namba hizo hizo +971581480619...!
View attachment 2990274
Niletee wadada wa kazi wawiliBado sijayajua yote ila huku nilipo nipo na watu wazoefu wa biashara...faida niliyoipata kwenye safari yangu hii moja wapo ni kukutana na vijana wapambanaji ambao wamejiajiri kwenye biashara na ni watanzania...!
Na sehemu ninazo ishi ambayo naweza kusema ni uswahilini panaitwa Al murar.. hapa ni kama kariakoo kwa huko Tanzania...!
Kwa kifupi zaidi Dubai yote ni mji wa biashara...Kuna biashara mji nzima maduka ya Kila aina...yapo Dubai nzima...!
Sina connection ya wadada wa kaziNiletee wadada wa kazi wawili
Wawe wafipa
Dah.! hii imekaa poa sana.. Dhahabu kwenye ATM [emoji119][emoji119]Sawa...ila bei ya huku ni ya kimataifa wewe unataka kuuza au kununua...maana huku dhahabu sio Dili unaweza kununua mpaka kwenye ATM...unaweka pesa inatoka dhahabu...!