X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #141
Note 10 ya Samsung....? 675000 Hadi dar es salaamKaka inahitajika Note10 plus haraka iwezekanavyo.. laki mbili ipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Note 10 ya Samsung....? 675000 Hadi dar es salaamKaka inahitajika Note10 plus haraka iwezekanavyo.. laki mbili ipo
Nakushauri nunua lenovo/macbook utanikumbuka,HP nyingi zinakufa display,dell sio imara kwenye hardware kufa vitu ni haraka nikawaida but lenovo km think pad ni jiwe sanaNataka kuagiza laptop refurbish/ used naomba bei
1.HP Laptop 15 Notebook Gen 11 - Windows 11 Home, iCore i7, 4.70GHz, 8GB RAM, 512GB SSD, 15.6" FHD Screen
2.Dell VOSTRO 3520 15.6 inch FHD,12th Gen Intel Core i7-1255U10–Core Processor
3.HP EliteBook 840 G6 Intel Core i5-8th Gen- Window 10
4.Acer Swift X AMD Equipped with an AMD Ryzen
5 processor, 16GB of RAM, and a 512GB SSD,_window 10-11
5.HP 15.6-inch Laptop Featuring a 12th Gen Intel Core processor, Intel Iris X Graphic_ window 10 or 11
6.Dell Inspiron 15 5515_ window 10 or 11
7.HP 15.6 Full HD Laptop, Intel Core i5-1135G7, 8GB RAM, 256GB SSD, Windows 10 Home
8.HP Envy 13 12GB Intel Core I7 SSD 512GB, window 11
Hiring simu ni Samsung toleo gani? Simu his na infinix hot 50 ipi ni bora zaidi.Kwa 280,000/= inakufikia popote dar es salaam...!View attachment 2998656
Asante kwa ushauri embu endelea kunishauri maana nataka kwa ajili ya kujifunzia programming na kufanyia mitihani online.na sitaki macbook ziko limited sana hasa refurbishNakushauri nunua lenovo/macbook utanikumbuka,HP nyingi zinakufa display,dell sio imara kwenye hardware kufa vitu ni haraka nikawaida but lenovo km think pad ni jiwe sana
MacBook hardware yake ni imara,sijapenda sn hali ya muundo wa silicon chip maana zipo delicate sana but Kwa performance ni nzuri, Kwa development/programming/graphics ni nzuri pia but km unaanza better anza na windows product ukiwa konki ndio uhamie huko.Asante kwa ushauri embu endelea kunishauri maana nataka kwa ajili ya kujifunzia programming na kufanyia mitihani online.na sitaki macbook ziko limited sana hasa refurbish
Asante, na miezi kama miwili imepita niliona mtu anauza macbook hapa bei poa kabisa nikapuuziaMacBook hardware yake ni imara,sijapenda sn hali ya muundo wa silicon chip maana zipo delicate sana but Kwa performance ni nzuri, Kwa development/programming/graphics ni nzuri pia but km unaanza better anza na windows product ukiwa konki ndio uhamie huko.
Mm natumia Mac na sijawahi juta or badili to windows pc
MacBook hardware yake ni imara,sijapenda sn hali ya muundo wa silicon chip maana zipo delicate sana but Kwa performance ni nzuri, Kwa development/programming/graphics ni nzuri pia but km unaanza better anza na windows product ukiwa konki ndio uhamie huko.
Mm natumia Mac na sijawahi juta or badili to windows pc
Zina ssd tayari boss hunahaja ya kununuaSsd za macbook nazitoa wapi
Kuna manukato nahitaji naweza kukuagiza mkuu ?Note 10 ya Samsung....? 675000 Hadi dar es salaam
Unahitaji ngapi...?Kuna manukato nahitaji naweza kukuagiza mkuu ?
Kama kuna uzi ulianzishwa wa jinsi ulivyotoboa naomba unitagNitaanzisha Uzi kwaajili hiyo...wakae kwa kutulia... kwenye Uzi huo nita tapika Kila kitu
👏👏👏🙏Ndugu zangu awali ya yote ni washukuru Wana jamiiforums wote ambao mliguswa na changamoto yangu iliyo nikuta ambayo ilipelekea kuandika Uzi uliotafsiliwa kama nimekata tamaa😭😭😭 Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!View attachment 2999532
Kwakweli kipindi naandika huo Uzi nilikuwa kwenye msongo mkali sana wa mawazo...! Kwasasa akili yangu imetulia...!
Miaka 3 ilivyo pita nilikuwa natafuta fursa za kazi nchi za nje...kwa bahati nzuri mwaka huu Nika bahatika kupata safari kwenye falme za kiarabu huku Dubai kwa hivi sasa nipo Dubai napambana Uzi wangu huu ni rejea nzuri 🤣🤣🤣🤣
Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu
Huku Dubai Kuna fursa za bidhaa nyingi ambazo bei zake ni za Hali ya chini sana...hivyo kama Kuna wafanya biashara/mfanyabiashara anahitaji bidhaa yoyote kutoka Dubai Nina weza Nika kusaidia kwa niaba Yako nikakununulia bidhaa unayo itaka na kukutumia ndani ya muda mchache.
Kwa bidhaa chache ndani ya masaa 72 unakuwa umepata mzigo wako...!
Hivyo hakuna aja ya wewe kufunga safari kuja huku...nipo nitafanya hivyo kwaajili Yako...!
View attachment 2990271
Mnao hitaji simu, perfume za aina zote, computer, vifaa vya magari, vifaa vya umeme niagize nitakutumia mzigo wako ndani ya muda mchache kwa uaminifu wa Hali ya juu...!
Kwa mawasiliano mnaweza kunipata kwa namba zangu za Whatsapp +255759170794...!
View attachment 2990274
Kuna bidhaa mbali mbali ambazo nitakuwa naziweka humu na bei hizi kwa kwa ndugu zangu wa jamiiforums tu. Nafanya hivyo kuweka bei za chini kama shukrani zangu kwa ndugu zangu kwa mchango wenu ambao tumekuwa tukipeana.
Hiyo laptop utanipata kwa 380,000/= navunja bei...huu mzigo ni used iliyo tumiwa na watu walio staarabika...!njoo na offa ya 100,000/= nikupe kifaa hicho Cha kijanja...kabisa kina speed kubwa ya internet...unaunganisha Hadi watumiaji 10 na zaidi kwa speed kubwa...! Inatumia laini ya mtandao wowote...!
View attachment 2999533hard-disk Gb 500 nitakuuzia kwa bei jumla kuanzia PC 50 kwa shilingi 19,000/= tu PC 1 ni shilingi 25,000/=
View attachment 2999534
Pia Kuna simu za aina mbali mbali ambazo nitajitahidi kuvunja bei...ili Kila mwana jamiiforums asikosekane hewani...!
View attachment 2999535
Usiache kuniagiza...nitumie chochote hata ukitaka gari sema🤣🤣🤣🤣View attachment 2999536
Zipo RAM za ukubwa mbali mbali
Njoo uvunje bei tufanye biashara...
View attachment 2999538
wafanya biashara mliopo dar es salaam nawakaribisha sana tufanye biashara Haina haja ya wewe kuja Dubai...Mimi nipo huku kwaajili Yako.
View attachment 2999537
View attachment 2999539
Ukihitaji order kuanzia 20 bei itashuka zaidi...!
Haina aja ya kufanya simu Yako iishiwe na charge kwa kuiwasha hotspot nakuletea hotspot ya kijanja...kwa elfu 70 inatumia laini zote...Ina kaa na charge muda mrefu na Ina Kasi ya mbs 100
View attachment 2999540
njoo tuzungumze kuhusu biashara usiwaze kuja Dubai Mimi nipo huku kwaajili Yako
{+255759170794 Whatsapp}
Whatsapp yangu ya Namba yangu ya Dubai umeharibika hivyo napatikana kwa Whatsapp ya namba yangu ya TanzaniA ambayo ni +255759170794
Gharama ipoje kwa sasa?Sidhani kama ni 1.5m labda kama ni visa ya siku 3 na kurudi 🤣🤣🤣🤣
Wao! Pazuri sana!!!View attachment 2994867
Huku Kila sehemu ni pazuri 🤣🤣🤣
Boss napata kwa bei hiyo ili nikuchek kesho kabla ya jogoo kuwika?Note 10 ya Samsung....? 675000 Hadi dar es salaam
Kwasasa siagizi mzigo mmoja mmoja...napokea order kuanzia PC 10 na kuendeleaBoss napata kwa bei hiyo ili nikuchek kesho kabla ya jogoo kuwika?