Russia is not your enemy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2023
- 373
- 625
Kama nyongeza hakuna ...hata ongezeko la mwaka (annual increment )hamna??
Sii kweli
Sii kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.Kama nyongeza hakuna ...hata ongezeko la mwaka (annual increment )hamna??
Sii kweli
Imethibitishwa umepokea elf 50 kutoka NMBMwenye sms ya salary aweke hapa
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Pastor Mwamposa, Kumetokea NiniKama nyongeza hakuna ...hata ongezeko la mwaka (annual increment )hamna??
Sii kweli
Unajaribu kusema niniAnnual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Mjinga wewe! Jiwe alipunguza pay as you earn (PAYE) ikawa single digit ndiyo sababu ikatokea kwa watumishi wote kwa wakati mmoja.Huu ni uongo, mbona Jiwe 2017 November aliweka kwa wote kale ka increment lake?
Hujaelewa nini?Unajaribu kusema nini
UmemalizaAnnual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Una muda gani katika utumishi wa umma?Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Jiwe alikuwa mvunjifu wa sheria na taratibu; ndo maana hata mishahara aligoma kuongeza kwa miaka 6 bila kujali sheria, Jiwe alikuwa mdudu wa HOVYO!Huu ni uongo, mbona Jiwe 2017 November aliweka kwa wote kale ka increment lake?
Zaidi ya miaka 30!Una muda gani katika utumishi wa umma?
Jiwe almaarufu pungu one.Jiwe alikuwa mvunjifu wa sheria na taratibu; ndo maana hata mishahara aligoma kuongeza kwa miaka 6 bila kujali sheria, Jiwe alikuwa mdudu wa HOVYO!
Ungekua umeshastaafu labda kama ulianza kama mfagiajiZaidi ya miaka 30!
Mnakosa increment kwa sababu yule mzanzibari hupeleka migao mikubwa kwao Zanzibar, kuliko ilivyostahili.Kama nyongeza hakuna ...hata ongezeko la mwaka (annual increment )hamna??
Sii kweli
Wewe nyau mbwa hujielewi.Mjinga wewe! Jiwe alipunguza pay as you earn (PAYE) ikawa single digit ndiyo sababu ikatokea kwa watumishi wote kwa wakati mmoja.