Niambieni sio kweli Udanganyifu kwenye mishahara

Niambieni sio kweli Udanganyifu kwenye mishahara

Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Hakuna kitu lakini Bado tunampenda mama yetu Samia 2030
 
Kama siyo mjinga unapotosha kwa makusudi! Mfano wewe umeajiriwa January mwaka huu unataka upate increment sawa na aliyeajiriwa July mwaka jana? Be sensible guy!
Kwanza kabisa kuwa na adabu mimi siyo rika lako jiheshimu sana. Hayo matusi wape wazaz wako waliokufundisha matusi. Km huwezi kuchangia hoja bila matusi acha.

Pili, we unajitia ujuaji bure utasemaje mtu alieajiliwa January is entled to have an annual increment. Nimesema kasome standing order ya watumishi wa umma. Siyo kuleta ujuaji wa kisekondari na kishamba hapa.

Mwisho, huna haja ya kujua km mimi ni mwaajiriwa au la! Mimi siyo mtoto mwenzako if you can't argue logically shut up your mouth. Over.
 
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Acha propaganda zako kutetea hii serikali. Kwani hizi annual increment ndio zinaanza leo? Wameshindwa kutimiza ahadi acheni kututea ujinga.
 
Acheni tamaa nyie watumishi, mjifunze kuridhika na kile mnacholipwa
 
Unafahamu maana ya annual increment? Kwa kiswahili ni nyongeza ya mwaka ya ajira yako na siyo nyongeza ya mwaka wa serikali! Hivyo kwa mfano kama uliajiriwa January mwaka huu bado hujatimiza mwaka na hustahili. Wanaostahili nyongeza ni wale walioajiriwa July mwaka jana. Kwa sababu hiyo ndiyo kilichotokea kuwa si wote wamepata increment mwezi huu!
Na aliyeajiriwa between January mpaka June kwa miaka ya nyuma let's say 2020?
 
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Acha uwongo wewee. Watu tumelipwa hizo enzi za mkapa na kikwete, kila Julai mzigo unapanda hata kwa afu tatu. Unatuudhi kwa kweli

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
 
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Kwa ufafanuzi wako huu, utakuwa unazitafuta laana za wavuja jasho.
 
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Hii serikali haina hela ,ya kufanya hivyo kwa haina haina option ya mapato zaidi ya tozo
 
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Acha uhuni wa kujiweka msemaji wa serikali huku ukijua kuwa unapotosha kabisa,kwanza hujui hata mikataba tunayosaini watumishi inasema vipi,hivi Kwanini serikali inakuwa na wateteaji wajinga kama wewe!?annual increment kwa mkataba wangu huwa ni mwezi wa saba bila kujari uriajiliwa mwezi wa pili au wa tatu.


OK tufanye nimeuelewa huo ujinga unaoutetea,mimi nimeajiliwa mwezi wa tano, hivyo mwezi wa tano sikuwa na annual increment wala mwezi huu,lakini mkata wangu unasema annual increment ni mwezi wa saba wa kila mwaka.

Acha kutetea upuuzi,kiufupi hakuna mtumishi aliyepata nyongeza iwe aliajiriwa mwezinwa tano aunwa saba
 
Acha uhuni wa kujiweka msemaji wa serikali huku ukijua kuwa unapotosha kabisa,kwanza hujui hata mikataba tunayosaini watumishi inasema vipi,hivi Kwanini serikali inakuwa na wateteaji wajinga kama wewe!?annual increment kwa mkataba wangu huwa ni mwezi wa saba bila kujari uriajiliwa mwezi wa pili au wa tatu.


OK tufanye nimeuelewa huo ujinganunaoutetea,mimi nimeajiliwa mwezi wa tano, hivyo mwezi wa tano sikuwa na annual increment wala mwezi huu,lakini mkata wangu unasema annual increment ni mwezi wa saba wa kila mwaka.

Acha kutetea upuuzi,kiufupi hakuna mtumishi aliyepata nyongeza iwe aliajiriwa mwezinwa tano aunwa saba
Usijifanye punguani kwani hujui mwezi wa tano ulikuwa mwaka wa fedha uliopita na annual increment zimeanza mwaka huu wa fedha!
 
2025 mbona haifiki jamani🙆🙆🙆
 
Back
Top Bottom