Niambieni sio kweli Udanganyifu kwenye mishahara

Niambieni sio kweli Udanganyifu kwenye mishahara

Kama siyo mjinga unapotosha kwa makusudi! Mfano wewe umeajiriwa January mwaka huu unataka upate increment sawa na aliyeajiriwa July mwaka jana? Be sensible guy!

Annual Increment inaangalia mwaka wa fedha wa Serikali, haiangalii hizo alogarithms za mwaka wako wa kuajiriwa.

Kasome Standing Order G.4 2009 , pamoja na Public Service Act ( CAP 102 of 2022) kwa rejea zaidi.
 
Sibishani na nguruwe! Ni Haram!

Msitukanane. Hamuwezi kutoboa kwa kutegemea mishahara ya Umma.

Hilo ongezeko la mwaka ni 5% of your basic . Kama una mshahara wa 1M , annual increment ni 50K .So kwa mwaka mzima una subiria elf 50 ; tuwe serious kidogo wabongo.

However, ni sawa kuulizia maana ni haki ya mtumishi, lakini sio Sawa kuwaza it will have big impact kwenye personal life.

Lakini pia mjifunze kuelewa wanasiasa ufanyaji wao wa kazi. Ni uongo ongo tu; tuliahidiwa kila kijiji kitapewa Mil 50; vingapi vimepewa?

Ni kweli Ngosha Pombe was tough , but atleast, he was honesty .
Nimekuelewa sana
Thanks
 
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Na huu ndo utumishi wa umma tukae humo[emoji8][emoji8][emoji8]
 
Rais Bora wa matope ya bandari kama chekechea bure kabisa
Atabaki kuwa Raisi bora mpaka Sasa
Hii kuwa na balls za kumkosoa enzi za mwenda tulikuwa hatuna.

Ajira anazotoa ni kielelezo tosha, Sasa watoto wa masikini wanatabasamu.

Angalia mazuri yake kwanza, ila Swala la bandari wamemtwisha bomu
 
Msitukanane. Hamuwezi kutoboa kwa kutegemea mishahara ya Umma.

Hilo ongezeko la mwaka ni 5% of your basic . Kama una mshahara wa 1M , annual increment ni 50K .So kwa mwaka mzima una subiria elf 50 ; tuwe serious kidogo wabongo.

However, ni sawa kuulizia maana ni haki ya mtumishi, lakini sio Sawa kuwaza it will have big impact kwenye personal life.

Lakini pia mjifunze kuelewa wanasiasa ufanyaji wao wa kazi. Ni uongo ongo tu; tuliahidiwa kila kijiji kitapewa Mil 50; vingapi vimepewa?

Ni kweli Ngosha Pombe was tough , but atleast, he was honesty .
Alikuwa honest!?
Ile 1.5T aliitolea maelezo wapi?
 
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Acha kudanganya haipo hivyo.km hujui kitu ni Bora kunyamaza.
Nyongeza huwa kwa wote.Haiangalii mwezi was ajira na pia nyongeza ya serikali ni mwezi wa 7.km itatokea jambo lingine na kuifanya mwezi mwingine basi Hilo ni jipya.
 
Jiwe alikuwa mvunjifu wa sheria na taratibu; ndo maana hata mishahara aligoma kuongeza kwa miaka 6 bila kujali sheria, Jiwe alikuwa mdudu wa HOVYO!
Kumbe hakukuwa na ongezeko la mshahara kwa miaka yote ya awamu ya 5?
 
Huu uzi uendelee hadi mshahara wa mwezi july ndio mtapata majibu mazuri sana
 
Back
Top Bottom