Niambieni sio kweli Udanganyifu kwenye mishahara

Niambieni sio kweli Udanganyifu kwenye mishahara

Unafahamu maana ya annual increment? Kwa kiswahili ni nyongeza ya mwaka ya ajira yako na siyo nyongeza ya mwaka wa serikali! Hivyo kwa mfano kama uliajiriwa January mwaka huu bado hujatimiza mwaka na hustahili. Wanaostahili nyongeza ni wale walioajiriwa July mwaka jana. Kwa sababu hiyo ndiyo kilichotokea kuwa si wote wamepata increment mwezi huu!
Nimepata shule mpya hapa. Ila watumishi wana hasira duh
 
Annual increment haitolewi kama salary increase ambayo hutolewa kwa watumishi wote bali hutolewa kulingana na tarehe ya kuajiriwa kwa watumishi wapya na tarehe ya promotion ya mwisho kwa watumishi ambao tayari walikuwa wamepanda vyeo.
Kwahyo baadhi ya watu wamepata annual increment syo, basi vizuri sana. Serikali ishukuriwe
 
Unafahamu maana ya annual increment? Kwa kiswahili ni nyongeza ya mwaka ya ajira yako na siyo nyongeza ya mwaka wa serikali! Hivyo kwa mfano kama uliajiriwa January mwaka huu bado hujatimiza mwaka na hustahili. Wanaostahili nyongeza ni wale walioajiriwa July mwaka jana. Kwa sababu hiyo ndiyo kilichotokea kuwa si wote wamepata increment mwezi huu!

Kwahiyo unataka kusema walioajiriwa july wamepata? Au june, May, Februari huko walishapata??? Usitukere na wewe!!
 
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Liongo hili
 
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Hakuna ujingaa kama huuuu... Yani serikali ikae ianze kupitia mafile kuwa imemuajiri mtu mwezi gani ili imuongezee mshahara??? Huo utahiraa haupooo bwana mdogooo kawadanganyee wenzio wa vijiweni huko.. Mwezi July unapoanza mwaka mpya wa fedha ndo pesa inapandaa chap the rest sahau.
 
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Uongo huo.... Akisema nyongeza ni kimya kimya, mambo moto ni fire.... Kazi ya moto huijui ? Nikujulishe kazi ya moto ni Kuunguza...! Alichosema atawaunguza kimya kimya.
 
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Umeandika upupu Bibi lenu linawatesa watu nyie wahuni na udini wenu mnashabikia upumbavu
 
Wewe nyau mbwa hujielewi.
Paye alipunguza July ila increment ilifanyika November

Msitukanane. Hamuwezi kutoboa kwa kutegemea mishahara ya Umma.

Hilo ongezeko la mwaka ni 5% of your basic . Kama una mshahara wa 1M , annual increment ni 50K .So kwa mwaka mzima una subiria elf 50 ; tuwe serious kidogo wabongo.

However, ni sawa kuulizia maana ni haki ya mtumishi, lakini sio Sawa kuwaza it will have big impact kwenye personal life.

Lakini pia mjifunze kuelewa wanasiasa ufanyaji wao wa kazi. Ni uongo ongo tu; tuliahidiwa kila kijiji kitapewa Mil 50; vingapi vimepewa?

Ni kweli Ngosha Pombe was tough , but atleast, he was honesty .
 
Back
Top Bottom