Niamini mimi:POMBE na WANAWAKE ni adui wa pesa zako

Niamini mimi:POMBE na WANAWAKE ni adui wa pesa zako

Habari za jumapili great thinker
Leo tukumbushane kidogo katika maisha ya kawaida maana humu lazima tujadiliane mambo ambayo yana tija katika maisha yetu ya kawaida
Leo nataka niwaase vijana wenzangu na hata wazee kama wapo humu kwamba ukitaka pesa iwe inatumika vizuri tuache POMBE na WANAWAKE maana hawa marafiki wawili wamekuwa maadui sana wa maisha yetu pesa haikai mfukoni inatumika hovyo hovyo,wekeza pesa yako ifanye miradi ya maana ili ufurahie maisha wewe na familia yako sio kutwa nzima unabadilisha wanawake,usiku kucha unabadilisha chupa za bia maendeleo kuja ni ngumu sana japo kuna watu watapinga kuhusu hili ila niamini pombe na wanawake ni ADUI MKUBWA WA MAENDELEO

Wasaalam
NB.Acha pombe na wanawake🎤🎤🎤
Ati nini utabaki kuwa juu juu mawinguni uwiii lamba lolo!
 
Bia haijawahi kunisaliti, siwezi kuisaliti.
 
Sifa kubwa ya Pombe (Alcohol) ktk medicine (Psychiatric ) ni kwamba inaongeza sexual desire ila inapunguza performance,hii ni explanation tosha kwanini mtu akinywa (majority) anatamani kupata bibi,na wale wadada wajanja wanakuvizia ukiwa uko tungi hasa ndio wanatoka na wewe wanajua ukifika kwenye game yaani ukijitahidi ni round moja then unakoroma na akipenda anakuibia hata masalia yaliyobaki [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hapa ndio panapokuwa na lalamiko la familia kuwa jamaa yeye maendeleo ni sifuri kazi yake ni pombe na wanawake
In real fact ni watu wachache sana wenye nidhamu ya Ku balance kati ya kunywa pombe,wanawake na Maendeleo otherwise hao wanaosema eti wanaweza kuji control wakinywa ni wagonjwa au wana pesa za mawazo (mf mtu ametoka home na sh 5000 anaenda kunywa lite 2 na mshikaki 1)


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake ndio shida,ila pombe unaweza kuweka utaratibu kwa siku unapata chupa 2 kwa afya na maisha yanaenda,mfano: 2x 2000x30=120,000/=,unaweza tenga kiasi hicho na maisha yakawa yako powa tu.
 
Sifa kubwa ya Pombe (Alcohol) ktk medicine (Psychiatric ) ni kwamba inaongeza sexual desire ila inapunguza performance,hii ni explanation tosha kwanini mtu akinywa (majority) anatamani kupata bibi,na wale wadada wajanja wanakuvizia ukiwa uko tungi hasa ndio wanatoka na wewe wanajua ukifika kwenye game yaani ukijitahidi ni round moja then unakoroma na akipenda anakuibia hata masalia yaliyobaki [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hapa ndio panapokuwa na lalamiko la familia kuwa jamaa yeye maendeleo ni sifuri kazi yake ni pombe na wanawake
In real fact ni watu wachache sana wenye nidhamu ya Ku balance kati ya kunywa pombe,wanawake na Maendeleo otherwise hao wanaosema eti wanaweza kuji control wakinywa ni wagonjwa au wana pesa za mawazo (mf mtu ametoka home na sh 5000 anaenda kunywa lite 2 na mshikaki 1)
Mkuu labda wewe watakuelewa maana wamekuwa wabishi sana kutetea kitu ambacho mimi nakiona ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu labda wewe watakuelewa maana wamekuwa wabishi sana kutetea kitu ambacho mimi nakiona ujinga
 
Back
Top Bottom