maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,408
- 6,094
- Thread starter
- #41
Mkuu njoo inbox sitaki hata mia yakoSasa kwa vile Biashara yenyewe sio deal tena, na labda huifanyi tena, emu ielezee hapa ili tujifunze kwa Vitendo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu njoo inbox sitaki hata mia yakoSasa kwa vile Biashara yenyewe sio deal tena, na labda huifanyi tena, emu ielezee hapa ili tujifunze kwa Vitendo.
Mi naona ni sawa watoto watafute mali zaoHawa ndio wale Wakiumwa/ kufariki Na hizo Wanazo ita biashara Zinakufa!!
Mkuu alijazwa akapigwa na mtonyo..ila nilimkazia kama mweziBalaa mara zote huanzia pale unapo muamini mwanamke
Mkuu mi nakuja inbox, nahitaji code maana napambana naishia kupata hela ya kula tu!Nisije nikatoa code hapa ila kuna siku nitatoa code moja matata
Mkuu ngoja nitakupa ujanja kuna watu hapa town wanaishi vizuri mno ila huezi jua biashara yake maisha...!Mkuu mi nakuja inbox, nahitaji code maana napambana naishia kupata hela ya kula tu!
Ha ha itakuwa poa sana, ujue mpaka najiona nimekaa kizembe, nikishindwa kupata maisha dar nitayapata wapi tena!Mkuu ngoja nitakupa ujanja kuna watu hapa town wanaishi vizuri mno ila huezi jua biashara yake maisha...!
Huu mji mkuu una style yake tofauti..so ukitumia sana akili hutajutia..Ha ha itakuwa poa sana, ujue mpaka najiona nimekaa kizembe, nikishindwa kupata maisha dar nitayapata wapi tena!