Niaminini mimi, Asernal hachukui ndoo hata ya maji EPL

Niaminini mimi, Asernal hachukui ndoo hata ya maji EPL

Msindikizaji Sana huyu dogo. Anasindikiza baadae wanachukua wengine.
Kwan shabiki gan wa arsenal,mchezaji au kocha aliesema tunachukua kombe??sisi kazi yetu ni kupata point3 muhimu kombe ni la liverpool,chelsea,man u,tot au man city sisi hatunashida ya kombe mbona unajipa stress relax relax relaaaaax
 
Back
Top Bottom