Nianzishe biashara gani ili niweze kujikimu?

Aisee chief hata kuandika tu hujui?

Hiyo PCB ulifaulu kwa namna gani? Nina mashaka na uaminifu wa NECTA.
 
kwanza nilijua wewe sio mtoto wangu, pili nilikuona kilaza toka unaanza kutambaa, baada ya kuanza kutambalia mgongo. nipo humu kijana
 
Hata miye ningekuwa mzazi wako kisha unaandika upumbavu kama hivyo, bora nikanunulie malaya aisee. Ukinywa bia unaweza kuongeza siku za kuishi kuliko kulipia ada punda kama hii
 
Nimegundua ni kwanini Tanzania haiendelei vyema, unaweza kuwa umetoka kucheza chandimu(mpira wa makaratasi), ukacharazwa viboko na mzazi kwanini umejichafua.
 
Acha uongo dogo
PCB
Div two
Ungeaply Medicine ungepata tena vyuo vya serikali na 100% mkopo plus bonus ya special fucult
Hizo ngojera kawaeleze fb.
 
Hiyo hela anayokupa huyo mtu kuna uwezekano mkubwa ndio pesa hiyo hiyo ya baba yako ila hataki wewe ujue kwa sababu zake binafsi.


Au huyo jamaa hana nia ya kukudai, anakusomesha tu ili uone uchungu wa pesa hatimaye usomw vizuri .
 
Anyways, tushajua hajui kuandika bt je mna ushauri gani kwa mdogo wenu? Mpatieni ushauri au hamjaona juu kapasua div 2 ????! Ebu tuwe waungwana tumpe ushauri wa kujenga sio kubomoa
Mzee baba jiulize kwanini baba ake kamkacha + mwandiko utajua unapoteza mda wako bure kushauri
 
Mimi binafsi sijaona bwana mdogo alipokosea, ila humu jf kila mtu anajifanya mjuaji, mnamwandama kijana wa watu kisa mwandiko

Nasemaje, acheni upumbavu wenu tukiwa peni na karatasi muandike hapa essay tuone mwandiko wenu tutakimbiana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…