Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Wala sikumjibu vibayaNakuunga mkono kweli kuna watu majina yamekaa kiume mf. Sakayo. Chikara mtabari. Banaange. BlessedHope.
Ila mkuu ulipokosea ni sehem moja pale alipokuambia kua jinsia yake ni Me ila wewe ukaendelea ku mind jina lake kua limekaa Kike
Kosa lipo wapi kijana?Ungeandika kama ulivyoandika hapa wala nisingekumaindi,kumbe ustaarabu unauweza,hebu linganisha ulivyoandika hapa na jinsi ulivyoandika mara ya kwanza utaelewa kosa lako lilipo
Omba uzi ufutwe kuepusha migogoro zaidi mahondawEe mungu rehemu ban zisitembee haya mazingira naona simba anazaa hapa jua kalii na mvua imechanganya mungu wetu epushia mbalii
Mkuu najuta hata kuja kwenye huu uzi...Wakuu JF imenabadilika kwa kasi saana. Na tunakoelekea itakuwa kama FB na insta. Sijui ni utoto sijui ni ushamba wa washkaji sielewi yaani.
Igeni mifano ya hawa member wa chitchat.
Asprin Viol
kiwatengu Honey Faith
espy
Watu tunataniana na wengine hatufahamiani lakin hatufikii huko. Jf inaenda kuwa FB.
Ok mkuu nyote mmekoseana basi kama wanaume naombeni mtoe tofauti zenu basi maisha yasonge. titimunda Hance Mtanashati ligi iishe. Unajua Hance unajina kubwa mtandaoni so usitake kujichafulia sifa zako kisa vitu vidogo. Gongeni tano kama vidume then mambo yasongeWala sikumjibu vibaya
Ila yeye ndio alianza vibaya kwa kuwa alisema sijui pombe magufuli kafanya nini nikamwambia hoja dhaifu akaanza kuongea shit kuhusu tunda
Sasa jiulize habari zangu mimi na tunda yeye zina muhusu nini?
Kina muuma nini mimi kumsifia tunda?
Poa poaMkuu najuta hata kuja kwenye huu uzi...
Ngoja niwatakie usiku mwema.
Sawa mkuu nimekuelewaOk mkuu nyote mmekoseana basi kama wanaume naombeni mtoe tofauti zenu basi maisha yasonge. titimunda Hance Mtanashati ligi iishe. Unajua Hance unajina kubwa mtandaoni so usitake kujichafulia sifa zako kisa vitu vidogo. Gongeni tano kama vidume then mambo yasonge
Ebu okoa jahazi kwana aiseeeeNgoja niwaache mueendelee kujirarua..[emoji102][emoji102]
Nakufahamu fika broSawa mkuu nimekuelewa
Mimi sio mtu wa maneno maneno hasa ambayo yanamkwaza mtu
Sijui aliwaza nini....[emoji19] [emoji19]Tumpishe shetani mbaya apite... Ni upepo mbaya umepita tu... Wote wata calm down and life goes on...
mahondaw my love... Remember what i told you when you were writing this thread... You see now my love....
Uyo dogo akili zake ni robo mkuuHivi kumbe skuizi hili jukwaa ndio lahivi.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Smart911 mylove wewe ni prophet nini??Tumpishe shetani mbaya apite... Ni upepo mbaya umepita tu... Wote wata calm down and life goes on...
mahondaw my love... Remember what i told you when you were writing this thread... You see now my love....
Ligi imeisha na bwana hance kawa mshindi,point zimelingana ila kanizidi idadi ya magoli.like I said its all good.peaceOk mkuu nyote mmekoseana basi kama wanaume naombeni mtoe tofauti zenu basi maisha yasonge. titimunda Hance Mtanashati ligi iishe. Unajua Hance unajina kubwa mtandaoni so usitake kujichafulia sifa zako kisa vitu vidogo. Gongeni tano kama vidume then mambo yasonge
Wewe huoni comment zake kama mwanaumeulishawai kumuona?