Nichane Day

Nichane Day

Status
Not open for further replies.
Kweli mkuu umeamua kutuchana!

BAN hutembea kwa wale wakorofi wanaovunja sheria za jamvini kwa makusudi licha ya wengi wao kuonywa mara kadhaa... Hata hivyo kuna kukata rufaa unapoona adhabu uliyopewa haistahili (support@jamiiforums.com).

Ila na mie ngoja niwachane kidogo baadhi ya members wanaoharibu mijadala kwa lugha zisizofaa na kuanzisha mada ndani ya mada; Mnakera sana, acheni huo mchezo!
Mods na mm nakuchana sasa.
Kwanini mnakawia kujibu ujumbe eeh.
Kwanini hamtangazi nafasi za kazi ya umod
 
Mods kwanini PM yangu haina mvuto na mashory,miaka yte hii niko jf hata siku moja sjakutana na mesej ya mchuchu hata ya bahati mbaya?,ni haki kweli hii,mlishuhulikie hilo.
 
Mods na mm nakuchana sasa.
Kwanini mnakawia kujibu ujumbe eeh.
Kwanini hamtangazi nafasi za kazi ya umod

Tunapokea jumbe nyingi sana na tunajitahidi kuzipitia zote.. Ila tutaongeza kasi mkuu..
Nafasi za umod zitatangazwa endapo tutahitaji kuongeza nguvu, usijali kabisa..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom