Nicholaus Gyan atua DTB ya ligi daraja la kwanza

Nicholaus Gyan atua DTB ya ligi daraja la kwanza

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Klabu ya DTB inayoshirki ligi daraja la kwanza imemsajili mchezaji Nicholaus Gyan ambaye amewahi kukipiga Simba Sc.

Gyan anaenda kuungana na akina Tambwe na Juma Abdul ambao nao wamesajiliwa katika timu hiyo! Hivi nani yupo nyuma ya DTB?

Kwa uwekezaji huu, DTB ataweza kupandisha timu ligi kuu?
 
Klabu ya DTB inayoshirki ligi daraja la kwanza imemsajili mchezaji Nicholaus Gyan ambaye amewahi kukipiga Simba Sc.

Gyan anaenda kuungana na akina Tambwe na Juma Abdul ambao nao wamesajiliwa katika timu hiyo! Hivi nani yupo nyuma ya DTB?

Kwa uwekezaji huu, DTB ataweza kupandisha timu ligi kuu?
DTB ni Diamond Trust Bank
 
Back
Top Bottom