Nichukue gari ipi kati ya Toyota Voltz, Harrier, Rav 4 old na Premio?

Nichukue gari ipi kati ya Toyota Voltz, Harrier, Rav 4 old na Premio?

12m Japan hukosi gari, mpaka unaitoa
Labda umo
Screenshot_20220630-110143_Chrome.jpg
 
Kiongozi kama kwa maelezo yako uliyotoa bora uvumilie kidogo uchange uongeze ifike 14M chukua IST tu show room utakuwa na angalau mpaka miaka minne ya kuendesha gari bila kujuana na mafundi kama ni muendeshaji mzuri. Haya magari ya kununua kibongo bongo wengi wanauza likiwa limemshinda linaweza kukusumbua ukajuta. Na pia kwa magari haya utanunua ambalo limeshatumika kwa muda mrefu kwa Tanzania
Mimi nauza magari ila nakuunga mkono 100% kwenye ukweli lazima tuseme ukweli
Ajichange tena akatafute ist mpya tu
Ama akaibahatishe kwa mtu bado kali
 
Kiongozi kama kwa maelezo yako uliyotoa bora uvumilie kidogo uchange uongeze ifike 14M chukua IST tu show room utakuwa na angalau mpaka miaka minne ya kuendesha gari bila kujuana na mafundi kama ni muendeshaji mzuri. Haya magari ya kununua kibongo bongo wengi wanauza likiwa limemshinda linaweza kukusumbua ukajuta. Na pia kwa magari haya utanunua ambalo limeshatumika kwa muda mrefu kwa Tanzania
Mm sihitaji ist yaan nachohitaji ni kupata ushauri nichukue gari ipi kati ya hizo hapo juu
 
Chukua to premio maana imezoeleka na hata ikiwa na changamoto sio ngumu kurekebisha
 
Kama hiyo hela inanunua Harrier old model chukua hiyo hutajutia...
 
Usije jaribu kuchukua voltz sababu uzalishaji wa gari hizo ulishasitishwa itakuja kusumbua kwenye spare na usumbufu zaidi utaupata kama utahitaji body parts
 
Habari zenu wakuu

Nmejichanga changa nikapata milion 12 za kuvuta kausafiri, nategemea kuvuta kutoka mkononi mwa mtu. Sina hela yakuongezea kuagiza gari mpya sina uwezo huo.

ili niondokane na kero za usafiri wetu wa Dar es Salaam wa daladala.

Naomba mnishauri kati ya gari hizi ipi itanifaa.

Toyota voltz
Rav 4 old model (hii siipendi kivile)
Premio ya cc 1490
Harrier yenye engine ya 5s

Nataka kujua unafuu wa gharama za service na bei ya vipuli, yaani gari ipi kati ya hizo vipuli vyake si vya bei ghali

Katika gari hizo nilizotaja nimependa sana muundo wa toyota voltz (nahitaji kuijua zaidi hii gari.

NOTE: Nakaa sehem yenye njia mbovu mvua ikinyesha ni mtihan kupita.

Nikifanikiwa nitaleta mrejesho.

Kwanza hongera kwa kujichanga na kufikisha hicho kiasi! Naomba nikushauri kitu kama ni mpambanaji pambana uongeze pesa uchukue Toyota voltz toka japani yenye 4WD ni gari nzuri spare zipo nyingi tu licha ya uzalishaji wake kusimama nimeitumia huu ni mwaka wa 6 na chuka iko vizuri kabisa.ila usinunue mkononi kwa mtu ni bora ukanunua hata Raum maana gari za mikononi ni majanga sana labda ununue kwa ndugu yako ama rafiki anaeweza kukueleza ukweli wa gari mpaka anapoiuza
 
Jamaa mmoja alisema "if you cannot buy it twice, you cannot afford it" nunua vitz old model 990cc japo haipo kwene list otherwise endelea kujichanga Zaid
 
Usije jaribu kuchukua voltz sababu uzalishaji wa gari hizo ulishasitishwa itakuja kusumbua kwenye spare na usumbufu zaidi utaupata kama utahitaji body parts
Fact kuna mwanangu aliuza IST akanunua hii gari inamtesa sana kupata spea na akizipata ni bei juu.
 
Usije jaribu kuchukua voltz sababu uzalishaji wa gari hizo ulishasitishwa itakuja kusumbua kwenye spare na usumbufu zaidi utaupata kama utahitaji body parts
Fact kuna mwanangu aliuza IST akanunua hii gari inamtesa sana kupata spea na akizipata ni bei juu.
Hivi hizi IST.. Crown.. Harrier.. Prado..zinazoonekana barabarani unadhani bado zinazalishwa mpaka leo!!?
Magari mengi sana yanayotamba huku mwetu wenyewe wajapan walishayasahau..!
Achukue Voltz tuu.. Spare dunia ni kijiji..
 
Hivi hizi IST.. Crown.. Harrier.. Prado..zinazoonekana barabarani unadhani bado zinazalishwa mpaka leo!!?
Magari mengi sana yanayotamba huku mwetu wenyewe wajapan walishayasahau..!
Achukue Voltz tuu.. Spare dunia ni kijiji..
Ishu sio uzalishaji umesimama au la ishu ni zilizalishwa ngapi! Voltz ni kama limited edition hata parts manufacturers hakuna maana wanajua wahitaji ni wachache..utazipata ndio ila kipengele ni bei so choice ni yako na mfuko wako..naongea kama maskini nnae miliki IST na bro wangu anahiyo Voltz na maisha anayopitia yakuwekea hadi Tape glue sio kwamba hana hela kupata tu hata dashboard ni ishuu
 
Habari zenu wakuu

Nmejichanga changa nikapata milion 12 za kuvuta kausafiri, nategemea kuvuta kutoka mkononi mwa mtu. Sina hela yakuongezea kuagiza gari mpya sina uwezo huo.

ili niondokane na kero za usafiri wetu wa Dar es Salaam wa daladala.

Naomba mnishauri kati ya gari hizi ipi itanifaa.

Toyota voltz
Rav 4 old model (hii siipendi kivile)
Premio ya cc 1490
Harrier yenye engine ya 5s

Nataka kujua unafuu wa gharama za service na bei ya vipuli, yaani gari ipi kati ya hizo vipuli vyake si vya bei ghali

Katika gari hizo nilizotaja nimependa sana muundo wa toyota voltz (nahitaji kuijua zaidi hii gari.

NOTE: Nakaa sehem yenye njia mbovu mvua ikinyesha ni mtihan kupita.

Nikifanikiwa nitaleta mrejesho.

Sawa ndugu nimekuelewa vyema km hutojal ongeza kwenye list yako hapo kuna gari inaitwa Mitsubish Outlander kwa Bajet yako 12M unaweza kumvua mtu.

Gar ipo vizur ipo juu hivyo kwenye njia mbovu kama ulivyosema unakatiza vizur tuh bila shida yeyote ile.

Spare kibao ndio gar ambayo hivi sasa ipo kwenye Peak Vijana wananunua sana tuh km zilivyo Subaru Forester.

Kiufup ni gar Nzur sana na pia ina Seat 7 wewe na familia one time mnaweza kutoka out au ukitaka unalaza sit boot inakuwa kubwa unapakia mzigo wa kutosha..
Huku ukiwa na sit 5 zako zimekaa watu
 
Back
Top Bottom