Nichukue hatua gani za kisheria dhidi ya benki ya CRDB?

Nichukue hatua gani za kisheria dhidi ya benki ya CRDB?

Juzi, nmetoa fedha benki, Salio lilisoma laki moja kabla sijaanza kutoa kidogokidogo..nikatoa 10000 Kisha baadae nikatoa 20000 Kisha nikatoa 10000 Kisha nikatoa 25000 baadae ya nikaambiwa Salio langu ni elfu mbili tu baada ya kuangalia Salio

Kwa hiyo ukiwa na 100000 ukatoa 65000 gharama ya tozo na ada za benki ni 350000 (2000)

Jaman huu ni wizi, ni wizi wa adharani anayeiba sasa daaah[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] sijui tunakimbilia wapi

Mchele 3500 @ 1kg
Unga 2200@1kg
Yaaani yaaani daaah
Yaani laki 1 unakwenda kuweka benki?

Nyie ndio wale mnaojaza mafoleni kwenye mabenki wakati wa kuweka pesa na kwenye ATM Machine wakati wa kutoa pesa!
 
Habari zenu wadau.

Nimesikitishwa na huduma mbovu za benki ya CRDB. Ukweli siku ya juzi nikiwa safarini kuna mtu alinipigia simu alikuwa na uhitaji wa haraka wa fedha kiasi. Na wakati huo huyo mtu alikuwa ananidai kiasi fulani cha pesa.

Sasa kwa uhitaji wake wa haraka akaniomba kama niko vizuri nimurudishie hela yake na pia nimuongezee amount nyingine ili aweze kutatua changamoto aliyo nayo.

Kwa kuwa niko safarini nisingeweza kwenda kutoa fedha benk halafu niende kumwekea huyu ndugu ambaye akaunt yake iko NMB.

Nikaona isiwe tabu, nikaingia kwenye app ya crdb kwenye simu janja yangu nikahamisha pesa kutoka CRDB kwenda nmb wastan wa kama 1m hivi (siyo exact figure).

Cha ajabu, sikupokea sms ya kuonyesha kuwa nimefanya muamala, na hela kwenye account imeshaenda, na mhusika hajapokea hela. that was tarehe 3, leo ni tarehe 5 mhusika bado hajapata hiyo hela.

Jana siku nzima nimesumbuana na watu wa CRDB. Kwanza nilianza kwa kumtumia mtu anayefanya kazi CRDB. Nilipoona sipati majibu ya kuridhisha nikaamua kupiga namba yao ya customer care. Ubovu wa huduma zao ukiwapigia simu jiandae kusubiri siyo chini ya dakika 10 unasikiliza nyimbo na matangazo yao.

Haya, alipopokea ananiambia sorry system ilikuwa down jana ila wanairekebisha soon. siku ya jana ikapita bila bila. Leo tena nimepiga story kama zile za jana. Now i feel embarrassed naona uvumilivu unataka kunishinda na mhusika alikuwa na dharura kubwa sana ndio maana niliona nimuhamishie haraka, kumbe ndo hasara.

Hivi nikiwafungulia kesi ya madai nitakuwa nimekosea? How comes wanakaa na pesa ya mtu kwa zaidi ya masaa 48 bila taarifa? Na mimi nawatafuta wananipigisha story za kusema soryy, sorry for what? Do they undeerstand damage wanayosababisha kwa mteja?
Itarudi ....mfumo wa Sim Banking unaweza kugombana na watu kumbe kweli haijaenda, jumatatu nilituma pesa kwenda NMB haikufika, niliangalia statement nikakuta hela imekatwa, kuna kodi ya serikali na tozo na Bank charge ya shilingi elfu 10, sasa jana imeingia msg kwamba nimekua refunded lakini sina hakika kama tozo zote zimerudi au ndio wanataka nifanye transfer tena wakate makato mengine !!
 
Juzi, nmetoa fedha benki, Salio lilisoma laki moja kabla sijaanza kutoa kidogokidogo..nikatoa 10000 Kisha baadae nikatoa 20000 Kisha nikatoa 10000 Kisha nikatoa 25000 baadae ya nikaambiwa Salio langu ni elfu mbili tu baada ya kuangalia Salio

Kwa hiyo ukiwa na 100000 ukatoa 65000 gharama ya tozo na ada za benki ni 350000 (2000)

Jaman huu ni wizi, ni wizi wa adharani anayeiba sasa daaah[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] sijui tunakimbilia wapi

Mchele 3500 @ 1kg
Unga 2200@1kg
Yaaani yaaani daaah

kwa sasa kuliko utoe pesa bank kwenda mitandao ya simu,ni bora uziache huko huko bank,kutoa laki mbili makato ni zaidi ya elfu 7.bado hujakutana na wahusika wa simu inakoingia mpaka uishike mkononi.
 
Habari zenu wadau.

Nimesikitishwa na huduma mbovu za benki ya CRDB. Ukweli siku ya juzi nikiwa safarini kuna mtu alinipigia simu alikuwa na uhitaji wa haraka wa fedha kiasi. Na wakati huo huyo mtu alikuwa ananidai kiasi fulani cha pesa.

Sasa kwa uhitaji wake wa haraka akaniomba kama niko vizuri nimurudishie hela yake na pia nimuongezee amount nyingine ili aweze kutatua changamoto aliyo nayo.

Kwa kuwa niko safarini nisingeweza kwenda kutoa fedha benk halafu niende kumwekea huyu ndugu ambaye akaunt yake iko NMB.

Nikaona isiwe tabu, nikaingia kwenye app ya crdb kwenye simu janja yangu nikahamisha pesa kutoka CRDB kwenda nmb wastan wa kama 1m hivi (siyo exact figure).

Cha ajabu, sikupokea sms ya kuonyesha kuwa nimefanya muamala, na hela kwenye account imeshaenda, na mhusika hajapokea hela. that was tarehe 3, leo ni tarehe 5 mhusika bado hajapata hiyo hela.

Jana siku nzima nimesumbuana na watu wa CRDB. Kwanza nilianza kwa kumtumia mtu anayefanya kazi CRDB. Nilipoona sipati majibu ya kuridhisha nikaamua kupiga namba yao ya customer care. Ubovu wa huduma zao ukiwapigia simu jiandae kusubiri siyo chini ya dakika 10 unasikiliza nyimbo na matangazo yao.

Haya, alipopokea ananiambia sorry system ilikuwa down jana ila wanairekebisha soon. siku ya jana ikapita bila bila. Leo tena nimepiga story kama zile za jana. Now i feel embarrassed naona uvumilivu unataka kunishinda na mhusika alikuwa na dharura kubwa sana ndio maana niliona nimuhamishie haraka, kumbe ndo hasara.

Hivi nikiwafungulia kesi ya madai nitakuwa nimekosea? How comes wanakaa na pesa ya mtu kwa zaidi ya masaa 48 bila taarifa? Na mimi nawatafuta wananipigisha story za kusema soryy, sorry for what? Do they undeerstand damage wanayosababisha kwa mteja?
Mkuuu CRDB ni wezi sana sana sana me sa hv sijisumbui nao kwanza waliniibia wakaniibia.......haya juzi usiku Sina hata mia nkasema niende nkatoe ka pesa kangu kanisukume mambo ya chakula siku mbili tatu muda huo nmetembea kutokea nyumbani hadi kwa wakala sikuamini macho yangu ..... Isingekua kumpgia mama sim ningelala njaa
 
CRDB ni wezi sana siku hizi,yaani account haujafanya chochote lakini unakuja kukuta elfu30 imekwenda au ndio tunalipia jengo jipya lenu makao makuu Palm Beach?
 
Mkuuu CRDB ni wezi sana sana sana me sa hv sijisumbui nao kwanza waliniibia wakaniibia.......haya juzi usiku Sina hata mia nkasema niende nkatoe ka pesa kangu kanisukume mambo ya chakula siku mbili tatu muda huo nmetembea kutokea nyumbani hadi kwa wakala sikuamini macho yangu ..... Isingekua kumpgia mama sim ningelala njaa
Ulikuta nini?
 
Mkuuu CRDB ni wezi sana sana sana me sa hv sijisumbui nao kwanza waliniibia wakaniibia.......haya juzi usiku Sina hata mia nkasema niende nkatoe ka pesa kangu kanisukume mambo ya chakula siku mbili tatu muda huo nmetembea kutokea nyumbani hadi kwa wakala sikuamini macho yangu ..... Isingekua kumpgia mama sim ningelala njaa

Wapuuzi sana ukiacha hela wanailamba na ukienda kuuliza wanakwambia fees ,kuna siku nilitoa hela nikaangalia salio lililobaki nikascreeshot nikaisave ,kesho yake nakuta wameiba laki nzima ,nikawaendea hewani wakasema itarudi ndani ya saa 24 wakaja kuirudisha means nisingepiga simu "WANGENYOOKA NAYO".
 
Juzi, nmetoa fedha benki, Salio lilisoma laki moja kabla sijaanza kutoa kidogokidogo..nikatoa 10000 Kisha baadae nikatoa 20000 Kisha nikatoa 10000 Kisha nikatoa 25000 baadae ya nikaambiwa Salio langu ni elfu mbili tu baada ya kuangalia Salio

Kwa hiyo ukiwa na 100000 ukatoa 65000 gharama ya tozo na ada za benki ni 350000 (2000)

Jaman huu ni wizi, ni wizi wa adharani anayeiba sasa daaah[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] sijui tunakimbilia wapi

Mchele 3500 @ 1kg
Unga 2200@1kg
Yaaani yaaani daaah
Unavyolalamikia bei ya vyakula serikali ina shamba? Kwanini hujajilimia, siasa ya ujamaa imewaharibu sana. Amka usingizini hata kilo ikifika 5000 ni wajibu wako,
 
Kimei alikuwa jembe aiseee..saiv CRDB malalamiko mengi toka huyu mkurugenzi mpya aingie...huyu mkurugenzi kazi yake kuzurura na kupiga self tu hashindi ofisini kutatua kero. Mimi hiyo benki nilihama kitambo Sana kutokana na changamoto zake kibao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ulikuta nini?
Depal acha kabisa da angu yani mim ni wa kukuta elf 5.....nkawapigia Simi muda mrefu matangazo yenyewe sielewi asubui nadamka hadi ofisini kwao hizo ramani nilizochorewa🙆🙆🙆nkamwambia hiyo mdada sawa sio mbaya mmepoteza mteja muaminifu **** nyie nkaondoka
 
Wapuuzi sana ukiacha hela wanailamba na ukienda kuuliza wanakwambia fees ,kuna siku nilitoa hela nikaangalia salio lililobaki nikascreeshot nikaisave ,kesho yake nakuta wameiba laki nzima ,nikawaendea hewani wakasema itarudi ndani ya saa 24 wakaja kuirudisha means nisingepiga simu "WANGENYOOKA NAYO".
CRDB hakuna kitu mkuu MATAPELI wakubwa
 
Nguvu ya kuwashitaki ilikuwepo kama una tuma CRDB kwenda CRDB.

Unaweza sema tatizo la crdb, kumbe ni la benki nyingine.

Pia usisahau Kuna mikataba mingi kwenye haya mashirika/makapuni makubwa. unaweza kukuta mtoaji wa huduma za network ni kampuni nyingine na iko labda England so ukifungua kesi jiandae kwa ghaama kubwa ya pesa na muda, na ukaja daiwa fidia wewe.
Mkuu unalosema ni kweli ila hapo kwenye labda anayohandle huduna zao labda ni kampuni nyingine hilo halimhusu mteja maana mteja mkataba alionao ni baina yake na CRDB, hayo ya sijui nani anahandle nini hayo hayamhusu
 
Back
Top Bottom