Nichukue ipi Kati ya TVS 150, 125 na BOXER BM 150, 125 au Hunter Hero

Nichukue ipi Kati ya TVS 150, 125 na BOXER BM 150, 125 au Hunter Hero

Jamani wajuzi wa hizi pikipiki naomba msaada wenu

NB: sio Kwa ajili ya bodaboda, ni ya kutembelea tuu
Hapo kwanza umetenga bajet ya shi ngapi kwa sababu pikipiki zina bei tofaut tofaut
 

Attachments

  • IMG_20220725_140617_040.jpg
    IMG_20220725_140617_040.jpg
    907.6 KB · Views: 134
Jamani wajuzi wa hizi pikipiki naomba msaada wenu

NB: sio Kwa ajili ya bodaboda, ni ya kutembelea tuu
Chukua tvs ndo reliable kuliko boxer, mashine ya tvs imetengenezwa vizuri kuifanya idumu zaidi..hapa nazungumzia mfumo wa uzungushaji wa oil ipo vizuri kwakua tvs ina oil pump inayosambaza oil kwenye parts zote za injini kwa pressure sawa(even pressure) tofauti na boxer inayotumia slapping mechanism and centrifugal kusambaza oil kwenye block..matokeo yake sasa hata upozwaji injini ya tvs unakua more efficient kuliko wa boxer...kutokana na haya nilio elezea hapo juu ndo maana boxer inawahi kufa mashine kuliko tvs..

Tvs ina ina exhaust pipe iliyotengenezwa vizuri ku cancel engine sound resonance frequencies na kufanya na iwe na very smooth sound kuliko boxer, so kwakua wataka kutembelea tvs ni nzuri kwakua haina kelele kama boxer..

Frame/chassis ya tvs ni nzuri kuliko boxer

Indicator za tvs zinashikiliwa flexible rubber inayofanya hata ukianguka basi indicator zisivinjike kutoka kwenye mkono wake na pia lakini pia zisilegee unapopita kwenye barabara mbaya, tofauti na boxer.

Asante...
 
Ata kama niyakutembelea nunua pikipiki ambayo ni multpurpose ata kama una maisha mazuri.nakwambia hivyo kwasababu najua hadha ya matumizi ya pikipiki kwa maisha yetu ya bongo.Hizi toyo na jamii yake pamoja ya kwamba wengi tunazifanya nikwaajili ya bodaboda ila ni pikipiki muhimu sana kwenye jamii yetu kwasababu inafanya mambo mengi yakijamii kuliko hayo matoleo mengine.kwasababu sio siku zote zitakukuta kwenye mazingira yakutembelea tu.Ni ushauri tu.
 
Chukua tvs ndo reliable kuliko boxer, mashine ya tvs imetengenezwa vizuri kuifanya idumu zaidi..hapa nazungumzia mfumo wa uzungushaji wa oil ipo vizuri kwakua tvs ina oil pump inayosambaza oil kwenye parts zote za injini kwa pressure sawa(even pressure) tofauti na boxer inayotumia slapping mechanism and centrifugal kusambaza oil kwenye block..matokeo yake sasa hata upozwaji injini ya tvs unakua more efficient kuliko wa boxer...kutokana na haya nilio elezea hapo juu ndo maana boxer inawahi kufa mashine kuliko tvs..

Tvs ina ina exhaust pipe iliyotengenezwa vizuri ku cancel engine sound resonance frequencies na kufanya na iwe na very smooth sound kuliko boxer, so kwakua wataka kutembelea tvs ni nzuri kwakua haina kelele kama boxer..

Frame/chassis ya tvs ni nzuri kuliko boxer

Indicator za tvs zinashikiliwa flexible rubber inayofanya hata ukianguka basi indicator zisivinjike kutoka kwenye mkono wake na pia lakini pia zisilegee unapopita kwenye barabara mbaya, tofauti na boxer.

Asante...
nimeendesha zote, TVS ina sauti ya bass kuliko boxer, pia kwenye kuchemka TVS injini yake inachemka haraka kuliko boxer, ila boxer inahitaji kubadilishiwa oil filter mara kwa mara
 
nimeendesha zote, TVS ina sauti ya bass kuliko boxer, pia kwenye kuchemka TVS injini yake inachemka haraka kuliko boxer, ila boxer inahitaji kubadilishiwa oil filter mara kwa mara
Filter inabadilishwa baada ya km ngapi mtaalam?
 
Chukua tvs ndo reliable kuliko boxer, mashine ya tvs imetengenezwa vizuri kuifanya idumu zaidi..hapa nazungumzia mfumo wa uzungushaji wa oil ipo vizuri kwakua tvs ina oil pump inayosambaza oil kwenye parts zote za injini kwa pressure sawa(even pressure) tofauti na boxer inayotumia slapping mechanism and centrifugal kusambaza oil kwenye block..matokeo yake sasa hata upozwaji injini ya tvs unakua more efficient kuliko wa boxer...kutokana na haya nilio elezea hapo juu ndo maana boxer inawahi kufa mashine kuliko tvs..

Tvs ina ina exhaust pipe iliyotengenezwa vizuri ku cancel engine sound resonance frequencies na kufanya na iwe na very smooth sound kuliko boxer, so kwakua wataka kutembelea tvs ni nzuri kwakua haina kelele kama boxer..

Frame/chassis ya tvs ni nzuri kuliko boxer

Indicator za tvs zinashikiliwa flexible rubber inayofanya hata ukianguka basi indicator zisivinjike kutoka kwenye mkono wake na pia lakini pia zisilegee unapopita kwenye barabara mbaya, tofauti na boxer.

Asante...
Nina swali mujamaa. Nataka safiri na bm 150 toka dodoma kwenda mwanza. Itatoboa kweli? Na je nitahitaji kubadilisha oil katikati ya safari?
 
Nina swali mujamaa. Nataka safiri na bm 150 toka dodoma kwenda mwanza. Itatoboa kweli? Na je nitahitaji kubadilisha oil katikati ya safari?
Ukibadirisha Dom unatoboa Mwanza.

Hapo mchawi sio pikipiki ila wewe ndio utachoka sana.

Kwakua Dom to Mwz kilometa 680, na wewe unataka kusafiri kwa siku ngapi? Moja au mbili?

Ila nashauri kila baada ya kilometa 100 pumzika ata dakika 10-30 itakusaidia.

Mi nilipata safari na watoto wa Kihindi kutoka Dar hadi Lushoto kwa bike (sema ilikua kubwa CBR 650), kabla ya safari nikasema nijipime upepo.

Nikaenda B/Moyo na kurudi fresh. Nikaja nikaenda tena Bagamoyo nikazunguka Msata, Chalinze Mlandizi hafu Dar. Aisee ni shida. Nilishindwa. Safari ndefu pikipiki unachoka sana sana sana usipokua makini.

Kwahiyo ushauri wa kwanza ni about wewe utaweza? Sio pikipiki.
 
Chukua tvs ndo reliable kuliko boxer, mashine ya tvs imetengenezwa vizuri kuifanya idumu zaidi..hapa nazungumzia mfumo wa uzungushaji wa oil ipo vizuri kwakua tvs ina oil pump inayosambaza oil kwenye parts zote za injini kwa pressure sawa(even pressure) tofauti na boxer inayotumia slapping mechanism and centrifugal kusambaza oil kwenye block..matokeo yake sasa hata upozwaji injini ya tvs unakua more efficient kuliko wa boxer...kutokana na haya nilio elezea hapo juu ndo maana boxer inawahi kufa mashine kuliko tvs..

Tvs ina ina exhaust pipe iliyotengenezwa vizuri ku cancel engine sound resonance frequencies na kufanya na iwe na very smooth sound kuliko boxer, so kwakua wataka kutembelea tvs ni nzuri kwakua haina kelele kama boxer..

Frame/chassis ya tvs ni nzuri kuliko boxer

Indicator za tvs zinashikiliwa flexible rubber inayofanya hata ukianguka basi indicator zisivinjike kutoka kwenye mkono wake na pia lakini pia zisilegee unapopita kwenye barabara mbaya, tofauti na boxer.

Asante...
Bila shaka wewe ni wakala wa Tvs
 
Back
Top Bottom