Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eh kwa hiyo unataka niambia dodoma to mwanza siwezi piga in one day?Ukibadirisha Dom unatoboa Mwanza.
Hapo mchawi sio pikipiki ila wewe ndio utachoka sana.
Kwakua Dom to Mwz kilometa 680, na wewe unataka kusafiri kwa siku ngapi? Moja au mbili?
Ila nashauri kila baada ya kilometa 100 pumzika ata dakika 10-30 itakusaidia.
Mi nilipata safari na watoto wa Kihindi kutoka Dar hadi Lushoto kwa bike (sema ilikua kubwa CBR 650), kabla ya safari nikasema nijipime upepo.
Nikaenda B/Moyo na kurudi fresh. Nikaja nikaenda tena Bagamoyo nikazunguka Msata, Chalinze Mlandizi hafu Dar. Aisee ni shida. Nilishindwa. Safari ndefu pikipiki unachoka sana sana sana usipokua makini.
Kwahiyo ushauri wa kwanza ni about wewe utaweza? Sio pikipiki.
Chukua tvs 150 ina ubora zaidiJamani wajuzi wa hizi pikipiki naomba msaada wenu
NB: sio Kwa ajili ya bodaboda, ni ya kutembelea tuu
Ni kila kilometers 5kFilter inabadilishwa baada ya km ngapi mtaalam?
Ushawahi kupiga umbali gani wewe kwa bodaboda?Eh kwa hiyo unataka niambia dodoma to mwanza siwezi piga in one day?
Kama km 70Ushawahi kupiga umbali gani wewe kwa bodaboda?
Utaweza ila utapiga 120 kisha break. Uta break mara tano hivi na nashauri unywe sana maji aisee ndio cha msingi.Kama km 70
Nimewahi piga km120 kwa Boxer 150, km 85 ilikua rough road, niliinjoy km za rough road kuliko lami, ila kuchoka sasa🥲🥲🥲Utaweza ila utapiga 120 kisha break. Uta break mara tano hivi na nashauri unywe sana maji aisee ndio cha msingi.
Ila ni nyingi sana izo mzee. Angalau ingekua cc300 kwenda juu.
boxer 150 rough road ndio yenyewe, nishapiga 180kmNimewahi piga km120 kwa Boxer 150, km 85 ilikua rough road, niliinjoy km za rough road kuliko lami, ila kuchoka sasa🥲🥲🥲
mzabzab Boxer,tvs hazijatengenezwa kwa safari ndefu kifupi utapata mateso sana niliwahi kwenda mtwara na boxer kutokea dar huwezi amini nilichoka mno ikabidi nisubiri Lori ya mizigo nikaipandisha humo mpaka mtwara.Ukibadirisha Dom unatoboa Mwanza.
Hapo mchawi sio pikipiki ila wewe ndio utachoka sana.
Kwakua Dom to Mwz kilometa 680, na wewe unataka kusafiri kwa siku ngapi? Moja au mbili?
Ila nashauri kila baada ya kilometa 100 pumzika ata dakika 10-30 itakusaidia.
Mi nilipata safari na watoto wa Kihindi kutoka Dar hadi Lushoto kwa bike (sema ilikua kubwa CBR 650), kabla ya safari nikasema nijipime upepo.
Nikaenda B/Moyo na kurudi fresh. Nikaja nikaenda tena Bagamoyo nikazunguka Msata, Chalinze Mlandizi hafu Dar. Aisee ni shida. Nilishindwa. Safari ndefu pikipiki unachoka sana sana sana usipokua makini.
Kwahiyo ushauri wa kwanza ni about wewe utaweza? Sio pikipiki.
So auala ni mie kuchoka ila sio kwamba mashine haiwezi kufikamzabzab Boxer,tvs hazijatengenezwa kwa safari ndefu kifupi utapata mateso sana niliwahi kwenda mtwara na boxer kutokea dar huwezi amini nilichoka mno ikabidi nisubiri Lori ya mizigo nikaipandisha humo mpaka mtwara.
Trip ya pili nilikuwa nampelekea bro big bike ilikuwa bmw gs1250 mwanza,nimetoka dar 05:00am dom nimefika 9am nilikuwa sijachoka hata kidogo mpaka naingia mwanza nipo fit kabisa
Unafika vizuri ila utafika tofauti na muda uliopangaSo auala ni mie kuchoka ila sio kwamba mashine haiwezi kufika
Poa pao. Mie naenda kiburudani zaidi mwanawane. Yaani napiga tour ya nchi.Unafika vizuri ila utafika tofauti na muda uliopanga
😃😃😃 Angalia usije ichukia hiyo boxer yakoPoa pao. Mie naenda kiburudani zaidi mwanawane. Yaani napiga tour ya nchi.
Million 70 pikipiki! Hapo sii nimegegeda warembo 300 tena pisi kali kweli kweli🤣🤣🤣🤣mzabzab jichange uchukue hii hakika hautotamani gari,ni $25000 tuView attachment 2340667
Warembo 300 hukosi ngwengweMillion 70 pikipiki! Hapo sii nimegegeda warembo 300 tena pisi kali kweli kweli🤣🤣🤣🤣