TONY MTAKAYOTE
Senior Member
- Jan 24, 2013
- 150
- 69
- Thread starter
- #21
Nani kakuambia haina
ajira?
Tukirudi kwenye mada.PCM ina wigo mpana zaidi wa kusomea fani nyingi
kuliko PCB.Unaweza somea engineering yoyote,Computer Science au masomo
ya biashara kwa urahisi zaidi na mengineyo.Kwa ushauri wangu soma
PCM.
hapo sawa lakini wasiwasi wangu ni kwamba nitaajiliwa wapi na hiyo engineering yangu...?