John Rogath Nguzo
Senior Member
- Dec 31, 2011
- 148
- 52
Imezoeleka hadi mtu afe ndo sifa zake zinatamalaki na nyimbo zake kupigwa redioni muziki unabadilika watu wanakuja na kuondoka katika Industry ya Hip Hop ya Bongo kwa sasa Nick Mbishi & One(uno) na Tamaduni Music kwa ujumla ndiyo wanaoifanya game hiyo vizuri kwa sasa nchini Tanzania.
Lakini Medias zinajifanya haziwaoni au inaumiza sana mtu anajituma,anaandika vizuri kwanini asisapotiwe? Kwa mtindo huu tusitegemee maendeleo katika industry ya Hip hop ya Bongo ni upuuzi,sijawahi kusikia wame be nominated katika aina yoyote ya tuzo hasa KTMA kila siku ni wale wale utasikia Joh Makini,Fid Q,Prof J,hadi Nick wa pili siku hizi kaingia.
But Mbishi ni kama haonekan hivi huu ni upuuzi first class tuthamini aisee wanachofanya hawa jamaa kama hujabahatika jitahidi kupata kazi za hawa jamaa itakuwa rahisi kuelewa nini?Namaanisha kwa Bongo kwa sasa hakuna kama hawa jamaa ni HAKUNA.
Lakini Medias zinajifanya haziwaoni au inaumiza sana mtu anajituma,anaandika vizuri kwanini asisapotiwe? Kwa mtindo huu tusitegemee maendeleo katika industry ya Hip hop ya Bongo ni upuuzi,sijawahi kusikia wame be nominated katika aina yoyote ya tuzo hasa KTMA kila siku ni wale wale utasikia Joh Makini,Fid Q,Prof J,hadi Nick wa pili siku hizi kaingia.
But Mbishi ni kama haonekan hivi huu ni upuuzi first class tuthamini aisee wanachofanya hawa jamaa kama hujabahatika jitahidi kupata kazi za hawa jamaa itakuwa rahisi kuelewa nini?Namaanisha kwa Bongo kwa sasa hakuna kama hawa jamaa ni HAKUNA.