Nick wa Pili bado ana ushamba fulani hivi wa kishule shule

Chuki na wivu vikikolea sana unakuwa mchawi, heshimu mawazo ya mtu achana naye fanya yako.
Asante
 
Mzee wa kukopi na kupest .. plagiarism...huwa hadisclose source..mpuuzi kweli
 
Kwa hiyo wewe na Nick 2,mnataka kumfundisha Mungu namna ya kuandika vitabu vyake?
 
Chuki na wivu vikikolea sana unakuwa mchawi, heshimu mawazo ya mtu achana naye fanya yako.
Asante
Acha maneno ya taarabu kwenye hoja ya msingi, nimuonee wivu yule ana nini sasa...
Acha upuuzi niache kuwaonea wivu wakina Drake, R. Kelly, n. K nije kumuonea wifu, Huyu Masikini.
 
Hizo ni Chuki binafsi tu.
BTW wewe unahakika gani kama biblia ni neno la Mungu !?

Acha maneno ya taarabu kwenye hoja ya msingi, nimuonee wivu yule ana nini sasa...
Acha upuuzi niache kuwaonea wivu wakina Drake, R. Kelly, n. K nije kumuonea wifu, Huyu Masikini
 
Mi nataka achapiwe yule manzi wake hizo qoute kuhusu supremacy ya wanawake atazikana fasta .

Jamaa anajiona kapata sana ngoja wahuni tufanye yetu .

Huko mbele atakuja simulia tu
Mkuu yule binti anatumia jina gani IG huwa naona anampost tu lakini hamtag?
 
si kweli mkuu soma vizuri uelewe
 
Anaitwa Somebody Temu sijue nani jina lake LA mwanzo ofcoz the chick is so hot hata. Mimi mate yanintoka ila to be a real man u have to make reservation to your attitude .thats classy

Huyu mchizi kapata demu ukubwani basi kajanjaruka saaana.
 
So basically the issue is not what Nikki wa pili says but it's because he got himself a hot chick?!
Some Men are hilarious & pathetic wallaih!

*Ndicho nimegundua while reading between the lines za mada ya mtoa mada na baadhi ya Wachangiaji wa humu na twitter!
 
Nani alikuambia Biblia imeandikwa na Mungu!?? Vitabu vya mwanzo,kutoka,mambo ya walawi,hesabu na kumbukumbu la Torati vimeandikwa na Mussa. Biblia ni mkusanyiko wa vitabu. Hata injili hao wainjilist mathayo,Marko,Luka na Yohane ndiyo walioandika hizo injili. Na kati yao,Marko ndo mwinjilist Msomi kuliko hao wengine. Ndo maana injili ya Marko ipo tofauti sana na zile zingine.
Kwa hiyo wewe na Nick 2,mnataka kumfundisha Mungu namna ya kuandika vitabu vyake?
 
We unakili kweli, Mbona yule Mwanamke ni wakawaida tu,aweze kuingia hata robo kwa Mwanamke wangu huyo , na tungekuwa na wifu na naye tungeanza kumuandika siku nyingi sana na si leo, kwa sababu huyo mwanamke alikuwa naye muda mrefu Sana, Acha na mawazo Masikini ulinayo kichwani.
 
Wewe ndiyo lete huo ukweli. Me si nimekuonyesha udhaifu wa Biblia kwenye suala la mfumo dume.!??
okay soma vifungu vifuatavyo mkuu kumbkumbu la sheria 22;22-25, vifungu baadhi amabavyo vilinaonesha sheria haikuwa ime lalaia wanawake ile sheria ni ya watu wote ndio maana hata pale musa alirudi kutoka mlima sinai akakuta waa abudu sanamu waliua watu walio abudu sanamu , pia mungu angelikua na mfumo dume mbona kuna manabii wa kike wapo kama debora, na kuendelea
 
We unakili kweli, Mbona yule Mwanamke ni wakawaida tu, na tungekuwa na wifu na naye tungeanza kumuandika siku nyingi sana na si leo, kwa sababu huyo mwanamke alikuwa naye muda mrefu Sana, Acha na mawazo Masikini ulinayo kichwani.


Wel, wewe una mawazo yako na mimi nina observations zangu juu ya mawazo yako and there is nothing you can do about that!
 
Mimi nimesoma na kuishi Arusha toka enzi za utoto, kiukweli kabisa bila kupepesa macho watu walio wengi narudia kusema WALIO WENGI wa Arusha ni WASHAMBA.....! Halafu huwa wanaamini ni wajanja!! Pathetic!!!

Hicho kichalii Nikki hata kuRAP hajui, na ni mfano wa USHAMBA wa watu wa Arusha, anadhani ni nguli wa Hip hop.
Yeye ni msoma mashairi yasiyo na vigezo.
Anaamini Arusha nzima au nchi nzima hamna msomi kama yeye.[emoji28][emoji28]Ajabu sana hii.

Watu wamemjaza sifa asizostahili so anakuwa mpumbavu wa mwendo kasi, daily.

Kaka yake Jo Makini ni Makini na anajua Hip Hop !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…