upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,078
- 4,504
Mkuu kumbuka ukipata 30% huku anayekufuata akiwa na 5% wewe utaonekana ni kichwa sana.Yule kazungukwa na kina Lord Eyez,Joh Makini,GNako na sampuli hizo unategemea nini?Kabisaa ila Nickson Simon nimweupe kinoma noma kwanza Masters yenyewe ya DS harafu sijui kwanini watu wanamuona msomi Yule dogo
huyu Nik2 ndiye nani.!? ni mvulana au msichana.!?
wekeni hata picha yake.Anafanya kazi gani.!?
hana ushamba sema sisi watanzania tunauoga wa kudadisi mambo.Hapo vip!!
Binafsi mimi ni mtu wa Arusha, ila Nick wa pili sijawahi kumkubali kabisa.
Kwanza hatua aliyofikia kuikosoa Biblia kisa Mwanamke, ni kumkosea muumba wake na kuwakosea wakristo wote Duniani.
Nick2,wakati anamvalisha Mchumba wake pete ambapo ni jambo jema kabisa.
Baada ya tukio hilo akasema sio kweli kuwa mwanaume ndio wakwanza kuumba na Mungu ila imeendikwa hivyo kwasababu Bliblia imeendikwa na wanaume.Hivyo eti ni mfumo dume.
Yeye amefanya Wap utafiti akajua yaliandikwa kwenye Bliblia sio kweli, au ameshushiwa kitabu kingine na Mungu inayopinga na Bliblia? Kwa sababu hauwezi unatumia akili za music na banki kupinga Bliblia.
Huyu jamaa binafsi sijawahi kumkubali, huwa namuonaga mshamba fulani hivi,kwa namna alivyo ikosoa Bliblia ni kiwango cha akili ya watoto wa form Two wanao balehe.
Huyu anajionaga smart kuliko Kila mtu..huu ni ushamba, angekuwa angekuwa smart kuliko Kila kitu angegundua Kila kitu ndege, magari, simu n. K...
Nasishangai wakatokea wafuasi wake, kwasababu katika jambo lolote liwe la kipumbavu au la maana, lazima linawafuasi, mfano hata nabii Tito alikuwa na wafuasi kindaki ndani, lakini mwisho wa siku nabii Tito alikuja kuokoka, akakiri upumbavu na Uovu wake, lakini kumbuka katika upumbavu alikuwa na wafuasi.
Jamaa naona hiyo kauli ya 'mwanamke kutolewa ubavuni kwa mwanaume' ndio anayoitilia shaka, sio kuwa wa kwanza au wa pili. Angekuwa wa pili ila akaumbwa kama mwanaume alivyoumbwa na sio kutolewa kwenye ubavu wake, lisingeonekana la kumdunisha mwanamke
Mwanamke kutolewa kwenye ubavu wa mwanaume ni kama kumdunisha sana, ina imply yeye ni sehemu ndogo tu ya mwanaume..
Sijawahi kusoma kuhusu hiyo Holy Grail, ila naona mwanaume kuwa dominant lipo natural tu tangia kitambo
Sababu ukiangalia hata kwa wanyama ambao wapo social, wa kiume ndio anakuwa dominant, sababu ya ukubwa wao, uwezo wao wa kupigana na adui au washindani, uwezo wao wa kuhimili magumu, na ujasiri wao, vile vile ina apply kwa wanadamu pia
So sidhani kama kuna mageuzi yoyote yaliyofanyika
Yeah, nakubaliana nae kwenye Biblia kuandikwa na wanaume na wakamdumaza mwanamke kama kiumbe kilichotoka tu kwenye ubavu wa mwanamke, alikuwa hamaanishi kulikuwa na mapinduzi yoyote, tweet yake hiyo hapo chiniUmekuja na point ambayo sikuwahi kuiwaza, ya kuhusu wanyama wa kiume kuwa dominant.
Swala la uumbaji kuhusu mwanamke kutoka kwenye ubavu wa mwanaume kwangu pia naichukulia kama ni fiction, la itakuwa lina tafsiri isiyo ya moja kwa moja.
Mpaka leo hakuna hitimisho rasmi la jinsi binadamu alivyoumbwa, biblia inasema vingine, history inatuambia kingine na science pia inatuambia kingine. Hakuna consensus kati ya makundi yote hayo.
Nirudi kwako, umeelezea kuhusu dominance nature ya wanaume, na ukakubaliana kwamba hakuna mahali wanawake walikofanyiwa mageuzi.
Je bado unaendelea kuisapoti kauli ya Nikki?
Yeah, nakubaliana nae kwenye Biblia kuandikwa na wanaume na wakamdumaza mwanamke kama kiumbe kilichotoka tu kwenye ubavu wa mwanamke, alikuwa hamaanishi kulikuwa na mapinduzi yoyote, tweet yake hiyo hapo chini
Must be hard been visionary surrounded by peoples who can't see.In the country of the blind one eyed man is a king
Niki minajhuyu Nik2 ndiye nani.!? ni mvulana au msichana.!?
wekeni hata picha yake.Anafanya kazi gani.!?
Hana cha gender ishu wala nini tangu azae na yule demu wake blah blah zimekuwa nyingi .Labda tuweke wazi kwamba nikki wa pili ni msomi wa civics - ambapo kwa chuo kikuu huitwa DS hivyo hana utaalamu wala weledi wa kukosoa hio biblia unless gender issues zinaanza kumuathiri
Asa we inakuuma nn, si kasoma kweli. We uliishia la nne nnHarafu anakatabia cha kujiona msomi saaana...
Yaani kila wimbo mpaka aseme sijui nimesoma.
Hahahahaaha mkuu umenifanya nicheke Sana kweli watu walio karibu nae weengi shule siyo kubwa kihivyo kwahiyo wanaona he is bright kumbe mweupe tu wasanii wengi wanamnyenyekea Yule dogo wakijua Ni kichwa kumbe hakuna kitu Mimi namfahamu Sana Tangu anasoma Kigoma sec mpaka hapo UDSM.Tangu ampate huyo mwanamke na akamzalia utafikiri yeye ndiye wakwanza kuoa Udsm alikua na Dem mmoja Ivi alikua anakaa Hall 4 kama sikosei karibu na DARUSO alikapelekesha Sana hako kajamaaMkuu kumbuka ukipata 30% huku anayekufuata akiwa na 5% wewe utaonekana ni kichwa sana.Yule kazungukwa na kina Lord Eyez,Joh Makini,GNako na sampili hizo unategemea nini?
Pia kitendo cha marehemu Ruge kumjumuisha kwenye zile semina zake za fursa kilifanya/kimefanya aonekana he is something else kumbe ni mkariri quotes tu wa kawaida asiye na jipya.
Asante wanahisi labda kasoma Theology au Vitu gani sijui na nakuambia Yule dogo angesoma hata Physical Education tungemkoma angekua yeye Amunike yeye Ndiye Mwalimu Kashasha na the like ila Sasa alisoma Uraia(Civics) au Maarifa ya Jamii tunaita hahaahhaaLabda tuweke wazi kwamba nikki wa pili ni msomi wa civics - ambapo kwa chuo kikuu huitwa DS hivyo hana utaalamu wala weledi wa kukosoa hio biblia unless gender issues zinaanza kumuathiri
Hahahaha nilisahau mkuu hio maarifa ya jamii hahahaha imenikumbusha shule ya msingi hahahaha...na pia amesomea Sociology undergraduate hahahaaha ndo maana ana mambo ya kidada dada sanaAsante wanahisi labda kasoma Theology au Vitu gani sijui na nakuambia Yule dogo angesoma hata Physical Education tungemkoma angekua yeye Amunike yeye Ndiye Mwalimu Kashasha na the like ila Sasa alisoma Uraia(Civics) au Maarifa ya Jamii tunaita hahaahhaa
Hahahaha jamaa anajiona yupo mbinguni ndo yale yale ya mzee wetu marehemu ushamba mwingi aiseee...Hana cha gender ishu wala nini tangu azae na yule demu wake blah blah zimekuwa nyingi .
Yule jamaa hawajui wanawake ngoja muda ufike atakuja simulia
Hana Ya Sociology mkuu Sociology alisoma Bachelor ila Uzamili alisoma Development Study pale IDS alikua anapita kachokaaa nakibegi chake dogo bado Sana YuleNi kajamaa jamaa hivi, kanadai kenyewe ndio kama masters ya sociology kuliko wasanii wote bongo na ndio kenye masters ya sociology Arusha yote. Daah
Ha
Hana Ya Sociology mkuu Sociology alisoma Bachelor ila Uzamili alisoma Development Study pale IDS alikua anapita kachokaaa nakibegi chake dogo bado Sana Yule