Nick wa Pili bado ana ushamba fulani hivi wa kishule shule

Nick wa Pili bado ana ushamba fulani hivi wa kishule shule

Kabisaa ila Nickson Simon nimweupe kinoma noma kwanza Masters yenyewe ya DS harafu sijui kwanini watu wanamuona msomi Yule dogo
Mkuu kumbuka ukipata 30% huku anayekufuata akiwa na 5% wewe utaonekana ni kichwa sana.Yule kazungukwa na kina Lord Eyez,Joh Makini,GNako na sampuli hizo unategemea nini?
Pia kitendo cha marehemu Ruge kumjumuisha kwenye zile semina zake za fursa kilifanya/kimefanya aonekana he is something else kumbe ni mkariri quotes tu wa kawaida asiye na jipya.
 
Ni kajamaa jamaa hivi, kanadai kenyewe ndio kama masters ya sociology kuliko wasanii wote bongo na ndio kenye masters ya sociology Arusha yote. Daah
huyu Nik2 ndiye nani.!? ni mvulana au msichana.!?

wekeni hata picha yake.Anafanya kazi gani.!?
 
Hapo vip!!
Binafsi mimi ni mtu wa Arusha, ila Nick wa pili sijawahi kumkubali kabisa.

Kwanza hatua aliyofikia kuikosoa Biblia kisa Mwanamke, ni kumkosea muumba wake na kuwakosea wakristo wote Duniani.

Nick2,wakati anamvalisha Mchumba wake pete ambapo ni jambo jema kabisa.
Baada ya tukio hilo akasema sio kweli kuwa mwanaume ndio wakwanza kuumba na Mungu ila imeendikwa hivyo kwasababu Bliblia imeendikwa na wanaume.Hivyo eti ni mfumo dume.

Yeye amefanya Wap utafiti akajua yaliandikwa kwenye Bliblia sio kweli, au ameshushiwa kitabu kingine na Mungu inayopinga na Bliblia? Kwa sababu hauwezi unatumia akili za music na banki kupinga Bliblia.

Huyu jamaa binafsi sijawahi kumkubali, huwa namuonaga mshamba fulani hivi,kwa namna alivyo ikosoa Bliblia ni kiwango cha akili ya watoto wa form Two wanao balehe.

Huyu anajionaga smart kuliko Kila mtu..huu ni ushamba, angekuwa angekuwa smart kuliko Kila kitu angegundua Kila kitu ndege, magari, simu n. K...
Nasishangai wakatokea wafuasi wake, kwasababu katika jambo lolote liwe la kipumbavu au la maana, lazima linawafuasi, mfano hata nabii Tito alikuwa na wafuasi kindaki ndani, lakini mwisho wa siku nabii Tito alikuja kuokoka, akakiri upumbavu na Uovu wake, lakini kumbuka katika upumbavu alikuwa na wafuasi.
hana ushamba sema sisi watanzania tunauoga wa kudadisi mambo.
ingekuwa sio waoga tungeanza kuchambua na kupiga kambi za majibizano kujua kupi ni sahihi kama kweli mtu wa kwanza ni adamu wa kiume ama si hivyo bali imeandikwa hivyo kwasababu ya nyakati maandiko hayo yaliandikwa,

ingekuwa mbele hapo nikki angekuwa kazua mjadala na watu wangejibisha kwa hoja ila kazi tunayo sisi wenye kujitia kumjua mno mungu na dini huku tukisahau kuwa mbona hao wanaoonekana kumsahau mungu wanajichana na sie ndo kwanza japo uchumi unapanda bado hali zetu za kuishi mabondeni ndio zinazidi kudidimia
 
wbongo midomoni wanajitia kumjua mungu kuliko ilhali 80% ni washirikina wa kutupa.

kitu wazungu, wala hawajitapi kujua sana ya mungu ila hawana kuroganarogana
 
Jamaa naona hiyo kauli ya 'mwanamke kutolewa ubavuni kwa mwanaume' ndio anayoitilia shaka, sio kuwa wa kwanza au wa pili. Angekuwa wa pili ila akaumbwa kama mwanaume alivyoumbwa na sio kutolewa kwenye ubavu wake, lisingeonekana la kumdunisha mwanamke
Mwanamke kutolewa kwenye ubavu wa mwanaume ni kama kumdunisha sana, ina imply yeye ni sehemu ndogo tu ya mwanaume..
Sijawahi kusoma kuhusu hiyo Holy Grail, ila naona mwanaume kuwa dominant lipo natural tu tangia kitambo
Sababu ukiangalia hata kwa wanyama ambao wapo social, wa kiume ndio anakuwa dominant, sababu ya ukubwa wao, uwezo wao wa kupigana na adui au washindani, uwezo wao wa kuhimili magumu, na ujasiri wao, vile vile ina apply kwa wanadamu pia
So sidhani kama kuna mageuzi yoyote yaliyofanyika

Umekuja na point ambayo sikuwahi kuiwaza, ya kuhusu wanyama wa kiume kuwa dominant.

Swala la uumbaji kuhusu mwanamke kutoka kwenye ubavu wa mwanaume kwangu pia naichukulia kama ni fiction, la itakuwa lina tafsiri isiyo ya moja kwa moja.

Mpaka leo hakuna hitimisho rasmi la jinsi binadamu alivyoumbwa, biblia inasema vingine, history inatuambia kingine na science pia inatuambia kingine. Hakuna consensus kati ya makundi yote hayo.

Nirudi kwako, umeelezea kuhusu dominance nature ya wanaume, na ukakubaliana kwamba hakuna mahali wanawake walikofanyiwa mageuzi.

Je bado unaendelea kuisapoti kauli ya Nikki?
 
Umekuja na point ambayo sikuwahi kuiwaza, ya kuhusu wanyama wa kiume kuwa dominant.

Swala la uumbaji kuhusu mwanamke kutoka kwenye ubavu wa mwanaume kwangu pia naichukulia kama ni fiction, la itakuwa lina tafsiri isiyo ya moja kwa moja.

Mpaka leo hakuna hitimisho rasmi la jinsi binadamu alivyoumbwa, biblia inasema vingine, history inatuambia kingine na science pia inatuambia kingine. Hakuna consensus kati ya makundi yote hayo.

Nirudi kwako, umeelezea kuhusu dominance nature ya wanaume, na ukakubaliana kwamba hakuna mahali wanawake walikofanyiwa mageuzi.

Je bado unaendelea kuisapoti kauli ya Nikki?
Yeah, nakubaliana nae kwenye Biblia kuandikwa na wanaume na wakamdumaza mwanamke kama kiumbe kilichotoka tu kwenye ubavu wa mwanamke, alikuwa hamaanishi kulikuwa na mapinduzi yoyote, tweet yake hiyo hapo chini


 
Labda tuweke wazi kwamba nikki wa pili ni msomi wa civics - ambapo kwa chuo kikuu huitwa DS hivyo hana utaalamu wala weledi wa kukosoa hio biblia unless gender issues zinaanza kumuathiri
 
Yeah, nakubaliana nae kwenye Biblia kuandikwa na wanaume na wakamdumaza mwanamke kama kiumbe kilichotoka tu kwenye ubavu wa mwanamke, alikuwa hamaanishi kulikuwa na mapinduzi yoyote, tweet yake hiyo hapo chini




Anadhani iko hivyo ..., hiyo sentence mtu akishaweka nadhani ni mtazamo ambao ni open.

Bahati mbaya kama tulivyosema hill swala la uumbaji limekuwa kama fumbo, hatuwezi kulimaliza.

Now: leo hii ambapo awareness ya haki za mwanamke ziko juu, unadhani waandishi wa leo wangeandika Biblia wangesemaje? (Hapa nimebase kwenye point yako ya jinsi biblia ilivyoandikwa).

And then, kama sivyo vile walivyoandika, ni kipi unadhani ni sahihi?
 
Labda tuweke wazi kwamba nikki wa pili ni msomi wa civics - ambapo kwa chuo kikuu huitwa DS hivyo hana utaalamu wala weledi wa kukosoa hio biblia unless gender issues zinaanza kumuathiri
Hana cha gender ishu wala nini tangu azae na yule demu wake blah blah zimekuwa nyingi .

Yule jamaa hawajui wanawake ngoja muda ufike atakuja simulia
 
Na kubaliana kabisa na mtoa mada ni uzwa zwaaa kukashifu dini yako..tena ni laanaa
Ingekua dini ya ndugu zetu waislam lazima adhabu kali inge muhusu kama sio ku fyekelewa mbali basi ni kiungo kimoja kuondolewa
Naludia tena ni Uzwaa zwaa kukashifu ukristo wakati jina lako ni la kikristo si basi nae angejitambulisha kua hana dini kama Yeriko nyerere
Ustaarabu woote duniani na elimu yote duniani chanzo ni dini..tena hasa dini zote hizi mbil muslim na christian
 
Mkuu kumbuka ukipata 30% huku anayekufuata akiwa na 5% wewe utaonekana ni kichwa sana.Yule kazungukwa na kina Lord Eyez,Joh Makini,GNako na sampili hizo unategemea nini?
Pia kitendo cha marehemu Ruge kumjumuisha kwenye zile semina zake za fursa kilifanya/kimefanya aonekana he is something else kumbe ni mkariri quotes tu wa kawaida asiye na jipya.
Hahahahaaha mkuu umenifanya nicheke Sana kweli watu walio karibu nae weengi shule siyo kubwa kihivyo kwahiyo wanaona he is bright kumbe mweupe tu wasanii wengi wanamnyenyekea Yule dogo wakijua Ni kichwa kumbe hakuna kitu Mimi namfahamu Sana Tangu anasoma Kigoma sec mpaka hapo UDSM.Tangu ampate huyo mwanamke na akamzalia utafikiri yeye ndiye wakwanza kuoa Udsm alikua na Dem mmoja Ivi alikua anakaa Hall 4 kama sikosei karibu na DARUSO alikapelekesha Sana hako kajamaa
 
sasa kama anajiona kasoma wenzake walioshia STD VII kina Igunga girl si atakuwa anawaona kama wadudu
 
Labda tuweke wazi kwamba nikki wa pili ni msomi wa civics - ambapo kwa chuo kikuu huitwa DS hivyo hana utaalamu wala weledi wa kukosoa hio biblia unless gender issues zinaanza kumuathiri
Asante wanahisi labda kasoma Theology au Vitu gani sijui na nakuambia Yule dogo angesoma hata Physical Education tungemkoma angekua yeye Amunike yeye Ndiye Mwalimu Kashasha na the like ila Sasa alisoma Uraia(Civics) au Maarifa ya Jamii tunaita hahaahhaa
 
Asante wanahisi labda kasoma Theology au Vitu gani sijui na nakuambia Yule dogo angesoma hata Physical Education tungemkoma angekua yeye Amunike yeye Ndiye Mwalimu Kashasha na the like ila Sasa alisoma Uraia(Civics) au Maarifa ya Jamii tunaita hahaahhaa
Hahahaha nilisahau mkuu hio maarifa ya jamii hahahaha imenikumbusha shule ya msingi hahahaha...na pia amesomea Sociology undergraduate hahahaaha ndo maana ana mambo ya kidada dada sana
 
Ha
Ni kajamaa jamaa hivi, kanadai kenyewe ndio kama masters ya sociology kuliko wasanii wote bongo na ndio kenye masters ya sociology Arusha yote. Daah
Hana Ya Sociology mkuu Sociology alisoma Bachelor ila Uzamili alisoma Development Study pale IDS alikua anapita kachokaaa nakibegi chake dogo bado Sana Yule
 
Back
Top Bottom