Nick wa Pili na mbwembwe za usomi

Mbona kama umekata moto mkuu? nzuri lakini sema umeishia njiani. Kwahyo una mkubali ama humkubali?
 
This comes from a hobo a.k.a shithole who can't know that violence is not violance. Unahangaika na haiba a mtu. Great mind discuss ideas not people. Kama unadhani idea yake ni shallow unapaswa uje na counter argument. Sasa unashindwa kuja na counter argument unaingia kwenye haiba. Yale ni majadiliano au mawazo yake yupo huru kuyasema. Kwa hiyo na wewe ulipaswa ulete mtazamo wa kumpinga anachosema na si kushambulia uwezo wake wa ku argue. Imebidi niongee kwa lugha unayoielewa (kuongelea haiba za watu)😀😀😀😀
 
Wewe mawazo yako yanajengwa kwa msingi upi? si ndo nyie mnalilia freedom of speech halafu mna oppress uhuru wa wengine kutoa mawazo yao. Hakuna objectivity katika mawazo ya kisiasa. Huwezi kujua msingi wa mawazo yake sababu hamna uwezo sawa wa kuona kwa jicho la tatu. Kila mmoja anakiona kitu kutokana na amesimama katika angle gani. 9 inaweza ikawa 6 inategemea wakati unaisoma umekaa upande upi. Sasa sababu mwingine anaona 6 huwezi ukasema hujui msingi wa kusema sita umebase wapi wakati haupo pale alipo yeye.
 
Hapana!!!! Na hili ndo tatizo la jamii forum unachat na mtu ambaye humjui,mzee ni V8 mbili Mimi,nina 600 million bank,nina uhakika wa 4.5 million kila mwezi,tusichukuliane poa kiasi hicho
Sasa 4.5m kwa mwezi nayo ni hela ya kusema kwa watu mkuuu??labda kama ni waserikalini,na kama ni waserikalini hauwezi pata v8 mbili labda mpigaji...au haujui hata hesabu za kudanganya bwana mdogo..
 
Sasa 4.5m kwa mwezi nayo ni hela ya kusema kwa watu mkuuu??labda kama ni waserikalini,na kama ni waserikalini hauwezi pata v8 mbili labda mpigaji...au haujui hata hesabu za kudanganya bwana mdogo..
Huyo Niki wa pili hata hiyo million 4 per month hapati
 

Hujajua msingi wa hoja yangu. Sizungumzii utofauti wa mitazamo kwa kuwa hiyo ni kawaida katika mazingira yoyote ambayo kuna uhuru wa kufikiri. Na ndiyo maana kuna wakati watu wanatakiwa kukubali kutokukubaliana maana hata common sense is not common. Ninachokipinga kwa Nick ni namna yake ya kujenga hoja. Hapendi kutoa hoja katika namna rahisi yenye kueleweka, hata jambo la kawaida atalizungumza katika namna complex kiasi kwamba kwa mtu wa kawaida kuelewa kinazungumziwa nini inakuwa mtihani.

ili nijue kama nakubaliana au sikubaliani na hoja yako ni lazima niielewe kwanza. Hoja za Nick hazieleweki ana tumia ufundi fulani ambao hauna tija akidhani huo ndio usomi lakini sidhani kutokueleweka ni sifa ya usomi. Ila mara nyingi ninapotafuta mzizi wa hoja yake na kuuelewa vizuri huwa sikubaliani nae nadhani hilo sio tatizo maana nina uhuru wa kukubali au kukataa na hii haipaswi kumfanya yeye kuacha kutoa mawazo yake maana ana uhuru wa kufanya hivyo.
 
Vipi kuhusu wewe?
 
Bora ata na wewe umeliona hilo
 
Kuwa na mastaz ya socialogy siku hizi ndo imekua usomi?
 
Mungu akubariki sana..huwa natafuta comments km hizi..ni chache sana. Ubarikiwe
 
Hapana!!!! Na hili ndo tatizo la jamii forum unachat na mtu ambaye humjui,mzee ni V8 mbili Mimi,nina 600 million bank,nina uhakika wa 4.5 million kila mwezi,tusichukuliane poa kiasi hicho
Sawa Eroo,vipi habari ya Arusha lakini?
 
Hata mange kimambi haelewi insha za huyu jamaa.
Watu mashuhuri wengi wanashindwa kutofautisha kati ya fasihi na kutoa hoja ya kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…