Nico Zengekala: Mwanamuziki kipofu aliyetikisa Tanzania

Pole saana mzee.
 
Sikuwahi kujia kama jamaa alikuwa kipofu, sio wa enzi zangu, lakini nyimbo zake nilizipenda kupitia mzazi wangu alikuwa akizisikiliza saana, santuri zilikuwepo za kutosha maskani za mgoma za kale..

Nikaleta utoto teknolojia ya santuri ilivyoanza kuisha nikawa nazibeba naenda kuchezea baharini. [emoji23]
 
Solemba ni nyimbo nzuri nikiwa mdogo hadi sasa mtu mzima huwa naisikiliza ni nyimbo nzuri sana. Aendelee kupumzika kwa amani mtunzi nico zengekala!!!
 
Bujibuji

Duu hii kitu ya 2011, wengi watakujibu wako mwaka watatu au pili chuo kikuu ,wakija hapa wakisona mada zako wanachukulia poa poa ,kumbe ungamua kuwaacha kiuononi kwako wasingeona nyuzi zako
 

Duuh Kumbe alikuwa ni Mlemavu wa Macho? Sasa hii TUMA mbona kama aliimba TX Moshi WIlliam? Nimesimama njia Panda ya Uhuru na Msimbazi.
 
Mola amuweke pema. Alikuwa machine ya kuimba yenye thamani kubwa sana. Ile sauti kunamo solemba haina mfano ina mtetemo wa aina yake. Sifa kwa Muumba.
 
Kifo kifo

Kifo ni wa Baba Romee,

Kifo ni wa Lushiku,

Kifo ni wa Masia wee,

Kifo ni wa Mohammed Kipande,

Kifo ni wa Salumu abdala,

Kifo ni wangu baba,

Kifo we kifo wee,

Kifo ni wa Niko Zengekala,

Kifo unaua hata kipofu kifo weee,

Kifo siku ya mwisho kweli walimwengu hatukupendi,

.....

Remmy Ongala & Super Matimila - Kifo.
 
Just refer him as Doctor
 
..... nilikupenda kimapenzi solemba eeh,
ila dharau uliweka mbele solemba.
 
Pole saana mkuu
 
Nimeimba hadi mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…