Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Halafu nikiendelea ndio itakuweje?Endelea kutojua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu nikiendelea ndio itakuweje?Endelea kutojua.
Huyu mbunge hakika anamaono ya mbali sana, mungu ambariki sana lakini kwa wstu vichwa maji watapinga hili.Mbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina ama Wazungu watakapokuja nchini waisomee na itumike katika biashara.
![]()
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 11, 2022, bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa waangalie mifano kutoka mataifa mengine yanayotumia lugha zao hadi kwenye vyombo vya habari.
"Mimi ni Msukuma lugha yangu mkiipa nafasi mkaweka kwenye system, Kisukuma kikiingia kwenye computer Wachina watakuja kujifunza hapa, hata Wazungu wakija kwenye migodi yetu wakakuta Askari wanazungumza Kisukuma tu hiyo hali itawafanya wakisomee, lazima tukae tufikirie tunawachenga vipi kwenye huu ulimwengu wa kutafuta pesa," amesema Mbunge Maganga
Acha bangi, ukiona amekosea leta hoja ya msingi.Lugha yenyewe unakandamiza maneno kama unatafuna nfuru au kande za bila kukobolewa, aende zake ndicho wananchi wake walimtuma?
Wewe, mfalme mbowe amekataza kutukana, ina maana humheshimu mwenyekiti wako?yeye na waliyemleta wote wapumbavu
Hata sijui itakuweje nijuavyo.Itakuwa ujuavyo.
Unatutusi wasukuma?yeye na waliyemleta wote wapumbavu
Acha uzwazwa wewe ukubwa wa kabila letu unaujua?Nyerere aliona mbali sana!! Hili kabila ni Mzigo WA Misumari, hadi Wawakilishi wao Hawana akili za kutambua jitihada za baba WA Taifa, hadi ukabila umepotea Tanzania wao wanaufufua!!!
Ninao uwezo; wewe tu ndio huna.Huwezi kujua kwa sababu huna uwezo huo.
Nina uwezo wa kujua.Unao uwezo wa kutojua.
Nina uwezo wa kujua ilivyo.Basi unajua isivyo.
Hata ndivyo sivyo ninajua.Hata kama 'sivyo' unajua ndivyo. Uwezo huo unao.
Nani alikuambia?Vyote kwa pamoja unajua ndivyosivyo. Hili unaliweza.
Lini?Wewe.
Utasemaje najua mwenyewe?Unajua mwenyewe. Haya ndiyo na uwezo wa kuyajua.
Kama ni Msukuma kweli wewe lazima utakuwa zuzu!! Ukubwa wenu ndio unasaidia nini kuleta ukabila!?Acha uzwazwa wewe ukubwa wa kabila letu unaujua?
This is a clear example of an empty caseMbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina ama Wazungu watakapokuja nchini waisomee na itumike katika biashara.
![]()
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 11, 2022, bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa waangalie mifano kutoka mataifa mengine yanayotumia lugha zao hadi kwenye vyombo vya habari.
"Mimi ni Msukuma lugha yangu mkiipa nafasi mkaweka kwenye system, Kisukuma kikiingia kwenye computer Wachina watakuja kujifunza hapa, hata Wazungu wakija kwenye migodi yetu wakakuta Askari wanazungumza Kisukuma tu hiyo hali itawafanya wakisomee, lazima tukae tufikirie tunawachenga vipi kwenye huu ulimwengu wa kutafuta pesa," amesema Mbunge Maganga
Nimesemaje?Hivyo ulivyosema.