Nicodemas Maganga, Mbunge wa Mbogwe ataka Kisukuma kiwe Lugha ya Biashara Tanzania

Nicodemas Maganga, Mbunge wa Mbogwe ataka Kisukuma kiwe Lugha ya Biashara Tanzania

Mbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina ama Wazungu watakapokuja nchini waisomee na itumike katika biashara.



mbogwe%202.jpg


Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 11, 2022, bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa waangalie mifano kutoka mataifa mengine yanayotumia lugha zao hadi kwenye vyombo vya habari.

"Mimi ni Msukuma lugha yangu mkiipa nafasi mkaweka kwenye system, Kisukuma kikiingia kwenye computer Wachina watakuja kujifunza hapa, hata Wazungu wakija kwenye migodi yetu wakakuta Askari wanazungumza Kisukuma tu hiyo hali itawafanya wakisomee, lazima tukae tufikirie tunawachenga vipi kwenye huu ulimwengu wa kutafuta pesa," amesema Mbunge Maganga
Huyu mbunge hakika anamaono ya mbali sana, mungu ambariki sana lakini kwa wstu vichwa maji watapinga hili.
 
Lugha yenyewe unakandamiza maneno kama unatafuna nfuru au kande za bila kukobolewa, aende zake ndicho wananchi wake walimtuma?
Acha bangi, ukiona amekosea leta hoja ya msingi.
 
watu kama hawa ni wazima kabisa wanaojitoa ufahamu kuwatoa wasomi kwenye mjadala wa kupaa bei za mafuta! huwa ni vizuri mtu kuficha upumbavu wake ila unaweza kukuta mbunge huyu hajui kama hajui! huwezI kuongea bungeni habari za kabila lako yaani sasa kila mbunge alete maagizo ya wazee wa kabila lake bungeni kamwe hawataskizana.
 
Nyerere aliona mbali sana!! Hili kabila ni Mzigo WA Misumari, hadi Wawakilishi wao Hawana akili za kutambua jitihada za baba WA Taifa, hadi ukabila umepotea Tanzania wao wanaufufua!!!
Acha uzwazwa wewe ukubwa wa kabila letu unaujua?
 
Mbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina ama Wazungu watakapokuja nchini waisomee na itumike katika biashara.



mbogwe%202.jpg


Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 11, 2022, bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa waangalie mifano kutoka mataifa mengine yanayotumia lugha zao hadi kwenye vyombo vya habari.

"Mimi ni Msukuma lugha yangu mkiipa nafasi mkaweka kwenye system, Kisukuma kikiingia kwenye computer Wachina watakuja kujifunza hapa, hata Wazungu wakija kwenye migodi yetu wakakuta Askari wanazungumza Kisukuma tu hiyo hali itawafanya wakisomee, lazima tukae tufikirie tunawachenga vipi kwenye huu ulimwengu wa kutafuta pesa," amesema Mbunge Maganga
This is a clear example of an empty case
tapatalk_jpeg_1557319509156.jpg
 
Nadhani kuna haja ya kuweka kwenye katiba mpya kipengele cha kuzuia msukuma kuwa Rais nchi hii hawa watu wanaonesha true color zao watu wasichukulie utani ila hawa watu ni hatari maana wanachosema ndio wanakiamini na nashangaa speaker wa bunge hakukemea michango ya kipumbavu kama hii.
 
Back
Top Bottom