Acha roho mbaya, mbona walamba asali hamuwakemei.Nadhani kuna haja ya kuweka kwenye katiba mpya kipengele cha kuzuia msukuma kuwa Rais nchi hii hawa watu wanaonesha true color zao watu wasichukulie utani ila hawa watu ni hatari maana wanachosema ndio wanakiamini na nashangaa speaker wa bunge hakukemea michango ya kipumbavu kama hii.
Mambo haya yameanza baada ya wasukuma kutawala kwa muda mfupi ni wakati wa kuthibitiwa hawaamini kama kabla ya mwaka walikuwa wao leo wote wamepigwa chini lazima waaumie na hawata rudi tena kwa mentality zao hizi za kikabila kudhani wingi ndio ukubwa.Acha roho mbaya, mbona walamba asali hamuwakemei.
Kwahiyo mnataka kuwatoa wote kwenye system?Mambo haya yameanza baada ya wasukuma kutawala kwa muda mfupi ni wakati wa kuthibitiwa hawaamini kama kabla ya mwaka walikuwa wao leo wote wamepigwa chini lazima waaumie na hawata rudi tena kwa mentality zao hizi za kikabila kudhani wingi ndio ukubwa.
Mngefanya kuwatenga kabisa muwape mikoa yao iwe nchi muishi kwa amani na walamba asali.Nadhani kuna haja ya kuweka kwenye katiba mpya kipengele cha kuzuia msukuma kuwa Rais nchi hii hawa watu wanaonesha true color zao watu wasichukulie utani ila hawa watu ni hatari maana wanachosema ndio wanakiamini na nashangaa speaker wa bunge hakukemea michango ya kipumbavu kama hii.
Hii ni sukumaphobia tu inakusumbua..,Mambo haya yameanza baada ya wasukuma kutawala kwa muda mfupi ni wakati wa kuthibitiwa hawaamini kama kabla ya mwaka walikuwa wao leo wote wamepigwa chini lazima waaumie na hawata rudi tena kwa mentality zao hizi za kikabila kudhani wingi ndio ukubwa.
Ili kuwahepuka hawa wasukuma nazani huu ushauri mzuri ni wao kutuacha na kutupa mikoa yetu tuendelee na lugha yetu adhimu ya kisukuma.Mngefanya kuwatenga kabisa muwape mikoa yao iwe nchi muishi kwa amani na walamba asali.
Acha na hawa mapoyoyo wenye chuki dhidi ya wasukuma, mbunge alikuwa anatoa mifano wenyewe wanatake it seriously.Hii ni sukumaphobia tu inakusumbua..,
Mtu katoa hoja yake bungeni kapendekeza lugha yeyote ichaguliwe akatolea mfano kisukuma
kwanini ukabila umetokea wapi hapo!?
Najua hamna bando tafta video usikilize.
Kabisa kama hawatajirekebishaKwahiyo mnataka kuwatoa wote kwenye system?
Hivi huoni muda aliotumia kuongea utopolo angetumia kuongea mambo ya maana? Shame!Acha na hawa mapoyoyo wenye chuki dhidi ya wasukuma, mbunge alikuwa anatoa mifano wenyewe wanatake it seriously.
wao ndio wanatufuata huku mbona wa mkoa wao. Asali tamu bwanaMngefanya kuwatenga kabisa muwape mikoa yao iwe nchi muishi kwa amani na walamba asali.
Kasema kisukuma kwanza hoja ya kijinga kuwahi kutokea haijalishi kihaya, kigogo sijui kimakonde hayo mawazo kaleta msukuma ndio ujue upeo wao wa kuwaza wana ulimbukeni fulani hasa wakiwa na madaraka kwa mara ya kwanza walipata madaraka kama miaka 5 hapo Dar tu mtu akataka kujifanya Mungu mtu lakini wana CCM wamejifunza hawatarudia tena, wao wapige kura tu madaraka hakuna.Hii ni sukumaphobia tu inakusumbua..,
Mtu katoa hoja yake bungeni kapendekeza lugha yeyote ichaguliwe akatolea mfano kisukuma
kwanini ukabila umetokea wapi hapo!?
Najua hamna bando tafta video usikilize.
Ulikuwa ni muda wa half time, wabunge walikuwa wamechoka kubishana kuhusu vitu kupanda bei pamoja na bei mafuta.Hivi huoni muda aliotumia kuongea utopolo angetumia kuongea mambo ya maana? Shame!
Huyo Tabasamu alisomeshwa na hiyo biashara ya gongo leo anaipondea hii nchi kweli imejaa wanafiki.Tabasamu kawaelezea Wabunge wa aina hii ambao wanawapotezea wenzao muda wa kutoa hoja na maoni yao. Fikiria Mbunge anaingia Bungeni na chupa za gongo kutetea matumizi yake na umuhimu wa kuhalalisha matumizi yake pia uchumi kwa wapikaji wa hiyo pombe! Tabasamu kawachana sana.
Mhe. Tabasamu nnayemfahamu Mimi hakusomeshwa kwa njia hiyo unayoielezea. Pengine huyo atakuwa ni Tabasamu mwingine.Huyo Tabasamu alisomeshwa na hiyo biashara ya gongo leo anaipondea hii nchi kweli imejaa wanafiki.
Kwa biashara hapana labda iwe Lugha ya kuchungia Ng'ombe na mbuzi!!Mbunge wa jimbo la Mbogwe Nicodemas Maganga, amesema Tanzania inabidi ichague lugha kutoka kwenye kabila moja hapa nchini ikiwemo Kisukuma kwa ajili ya kuiweka kwenye system itakayopelekea Wachina ama Wazungu watakapokuja nchini waisomee na itumike katika biashara.
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 11, 2022, bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa waangalie mifano kutoka mataifa mengine yanayotumia lugha zao hadi kwenye vyombo vya habari.
"Mimi ni Msukuma lugha yangu mkiipa nafasi mkaweka kwenye system, Kisukuma kikiingia kwenye computer Wachina watakuja kujifunza hapa, hata Wazungu wakija kwenye migodi yetu wakakuta Askari wanazungumza Kisukuma tu hiyo hali itawafanya wakisomee, lazima tukae tufikirie tunawachenga vipi kwenye huu ulimwengu wa kutafuta pesa," amesema Mbunge Maganga