mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,658
- 8,994
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh mbona hapo TBT alikuwa Cheusi mangala na shape ya kabati flat screen?
Basi mm mshamba eheee
Wakulima ndio hawaSidhani kama anafanya biashara ya kilimo cha vitunguu,ninachokiona biashara anayofanya ni ya "MBOLEA" ndio inayomlipa.
Long time no see homieHuyu dada kani-inspire sana, yaani tangu nisikie taarifa zake, fasta nikakimbia Mkuranga na nimepata liekari langu limoja taslimu, na Alhamdullilah, nimeanza na mwaka wa baraka manake mvua si haba tangia september mwaka jana hadi sasa!
Endeleeni na ku-bet vijana, na hii corona sijui mta-bet nini!!
You got it right pal, I remember our last conversation was about a possible gas industry stuff conference in Mtwara, and you said you'd be there!Long time no see homie
Sijui anafanya nini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umeona jembe lilivyoshikwa kwenye picha ya pili?
Dhana hizo..Kilimo moja ya vyanzo vya mafanikioYaani kwa mtazamo wangu.mdogo nilionao
Siwezi kuamini ni kilimo tu.ndo kimemfikisha hapo alipo.
Kuna jingine asee
Naona anajua kulima mpini umegeuzwa juu
kuna uchumi mwingine pale anao kaukalia tu....Yaani kwa mtazamo wangu.mdogo nilionao
Siwezi kuamini ni kilimo tu.ndo kimemfikisha hapo alipo.
Kuna jingine asee