Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo jingine unaweza kuita kilimo piaYaani kwa mtazamo wangu.mdogo nilionao
Siwezi kuamini ni kilimo tu.ndo kimemfikisha hapo alipo.
Kuna jingine asee
Hicho ni kilimo cha uti wa mgongo[emoji23][emoji23][emoji23]"siasa ni kilimo"
😀😀😀Mi mwenyewe nikawa nashangaa hilo jina lake na iringa wapi na wapi???
Watageuka mashekhe sasa. Dela bila tako? Kanzusawa basi..vaeni tu madera mapana ili yawastiri
Imebidi nirudi juu kuangalia kama kweli kashika jembe! Nilikuwa sijaliona kabisa hilo jembe!Umeona jembe lilivyoshikwa kwenye picha ya pili?
Hilo sio shamba ni bustani,hakuna hata hekari mbili hapo ambazo zinaweza kuingiza kipato cha 20m.vijana shtukeni kilimo kinalipa balaa, ebu ona dada yetu anavyopiga mamilioni kwnye kilimo huko Iringa. Nini maoni yako mkuu
Hapa akiandaa shamba kwa ajili ya kupanda
View attachment 1413601View attachment 1413649
hapa akibadlishana mawazo na wafugaji wenzake wenye asili ya kimasai njia mpya za ufugaji
View attachment 1413653
hapa chini akipumzika kidogo kabla ya kuendelea na safari kuelekea shambani
View attachment 1413655
akiwa amepumzikaa nyumbani baada ya mihangaiko ya siku nzima shambani
View attachment 1413656View attachment 1413657View attachment 1413658
hapa akishiriki video ya mbongo fleva Harmonize,anadai hakutaka kabisa kushiriki video hii sababu ya maadili na hasa ikizingatiwa kuwa hajazoea kuacha mwili wake wazi.
View attachment 1413674
Kilimo cha tifutifu ndio baba lao,ukitifua tuu,mamilioni,na amebarikiwa kupata ardhi tifutifu,so mtifuano ndio deal.
Bado ni MarchHivi leo ni April 1?
Ushikaji huo ni sahihi kama unazibua maji kwenye mfereji uliozibwa na majani makavu, sehemu isiyohitaji kukatwa na jembe.Naona anajua kulima mpini umegeuzwa juu
mashamba yamekaaje mkuu huko, 80K napata acre?Huyu dada kani-inspire sana, yaani tangu nisikie taarifa zake, fasta nikakimbia Mkuranga na nimepata liekari langu limoja taslimu, na Alhamdullilah, nimeanza na mwaka wa baraka manake mvua si haba tangia september mwaka jana hadi sasa!
Endeleeni na ku-bet vijana, na hii corona sijui mta-bet nini!!