Nicole kufikishwa Mahakamani kwa Utapeli wa Mitandaoni

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam Jumanne Muliro amesema kuwa idadi ya Watu wanaojitokeza wakidai kutapeliwa na Msanii Joyce Mbaga maarufu kama Nicole inaendelea kuongezeka huku kiwango cha fedha kilichotapeliwa nacho kikiongezeka pia.

Soma: Nicole Joy Berry mrembo aliyejulikana kwa kilimo cha vitunguu akamatwa na Polisi kwa tuhuma za utapeli

Akizungumza na Waandishi wa habari leo Machi 07, 2025 katika ofisi zake za Kanda Maalum ya Dar es Salaam maarufu kama Central Muliro alisema kuwa Nicole atafikishwa Mahakamani kuanzia wiki ijayo ili kukabiliana na tuhuma zinazomkabili.

Your browser is not able to display this video.
 
Sasa usanii umeongiaje hapo?
 
Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam Jumanne Muliro amesema kuwa idadi ya Watu wanaojitokeza wakidai kutapeliwa na Msanii Joyce Mbaga maarufu kama Nicole inaendelea kuongezeka huku kiwango cha fedha kilichotapeliwa nacho kikiongezeka pia.

Akizungumza na Waandishi wa habari leo Machi 07, 2025 katika ofisi zake za Kanda Maalum ya Dar es Salaam maarufu kama Central Muliro alisema kuwa Nicole atafikishwa Mahakamani kuanzia wiki ijayo ili kukabiliana na tuhuma zinazomkabili.


Your browser is not able to display this video.
 
Dah! Hatari sana.
Hii tabia wasanii wengi wanayo.
Wanatumia majina yao kwenye hizo mambo.
Huyo Kawa na bahati mbaya tu!
 
Nimefungua haraka haraka nikidhani ni Nicole Kidman. Kumbe ni Kasongo Mpinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…