Weee hata ningekua mimi ndo nipo hapo kituono huyo hatoki itabidi tumfungie humo humo mahabusu
Maana tukimuachilia mapema Wananchi bado wana hasira wanaweza " kumdhuru"🤣🤣🤣🤣🤣
Nasikia bob Mafwele ndio mara kwa mara anamuangalia mtuhumiwa asije kutoroka🤣🤣