Nicole kufikishwa Mahakamani kwa Utapeli wa Mitandaoni

Sheria si inasema Mtuhumiwa apelekwe Mahakamani ndani ya 24 sasa huyu anakaa Week tena
Weee hata ningekua mimi ndo nipo hapo kituono huyo hatoki itabidi tumfungie humo humo mahabusu
Maana tukimuachilia mapema Wananchi bado wana hasira wanaweza " kumdhuru"🤣🤣🤣🤣🤣

Nasikia bob Mafwele ndio mara kwa mara anamuangalia mtuhumiwa asije kutoroka🤣🤣
 
Ndo huwa namwambia mtu huku usidhani ni rahisi kuuza dyudyu na ukatoboa,ona magwiji kabisa kabisaaa yanavyohangaika
Bora umeongea hatuna uchumi wa kuuza pudesh ukatoboa. Ulaya wanauza kwa saa huku wanauza kwa bao au usiku mzima. Wanawake amkeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…