NIDA mliangalie hili

Wewe ni mmoja wa wale mabinti wa NIDA ambao tunawakutaga ofisini mnachati huku wateja wamekaa kwenye bench wanasubiri? Na mkisalimiwa au kuelezwa shida mnabinua midomo kwa nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hela ya chapati mbili....
jamaa bahili kinyama...
muda atakaotumia utakuwa ni mwingi sana kuliko hiyo bk 4
Nshapiga na Picha Jombaa, 4000 niliona nyingi coz natumia computer tangu laptop hazijaingia so sikuona kwa nini iwe gharama hivyo, imagine kuprint ni 500 afu tuseme nimeenda internet cafe nikalipia 700 nusu saa nkafanya na mishe zingine huko net halafu jumla ikawa 1200, tuache hiyo nilitumia bando langu na sikusota kama unavyozani, kama unabisha nitumie 2000 hapo 0000124587265
 
Ww ndiye mbishi mm ninacuokuelekeza nakijua kuliko hata wewe

Sent using i phone x
 
mara zote ambazo mimi nimedownload inakuja in PDF format. lakini hata kama machine haina Adobe reader sidhani kama inawezekana ikaconvert to other format bila wewe kuiamrisha ifanye hivyo. naomba wasamehe wote, hasahasa NIDA wenyewe labda kwa sababu sasa hivi they are running to meet the ultimatum.
 
kitu ambacho nakiona pia ni unnecessary kero ni hii ya kuambiwa taarifa zako zote zipo isipokuwa picha ndiyo haipo!! hivyo anza upya mchakato. allas! mpaka taarifa zote kuwapo maana yake nilipigwa picha. ok inawezekana kabisa picha ikakosekana baada ya kusave maana hayo hutokea pia kutegemea na ujuzi wa mtu. kwa nini msinipige tu picha badala ya kuniambia nianze upya??!???!!!?.
 
Bora hata wewe hii hatua umeifikia.. Kuna kina sisi kila siku tunaliwa mia mia zetu kupata namba tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naweza pata wapi Online id copy kwa Sasa.Maana nida wamesitisha kutoa katika website yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…