NIDA VS UHAMIAJI: Ukikamilisha taratibu zote, unapata passport baada ya wiki 2. NIDA wao unapata kitambulisho baada ya Mwaka au zaidi

NIDA VS UHAMIAJI: Ukikamilisha taratibu zote, unapata passport baada ya wiki 2. NIDA wao unapata kitambulisho baada ya Mwaka au zaidi

Sio kweli,
Uhamiaji ni wasumbufu kukiko nida ,
Nimekamiliaha kila kitu leo ni miezi minne sijapewa passport kisa sina barua ya shule, nawaambia sikusoma shule hawaniamini,
Cheti changu, baba, mama, babu, bibi, nida, kura barua ya mwenyekiti wa mtaa, leseni, tin number, driving licence, affidavit ya bibi mzaa bibi, eti vyote vimedunda kwasababh ya barua ya shule wakati ukweli mie sikusoma shule,
Nadhani umeona jinsi walivuo wasumbufu
 
Mkuu inashangaza na kusikitisha sana kwa kweli
Ukijiangalia kwa undani, hilo suala lako ni la kuisha ndani ya wiki moja.
Sasa wao wanachukua muda kana kwamba wanatengeneza silaha za nyuklia au wanajenga Uwanja wa ndege.

Hii ni taasisi cheleweshi.
 
Mwaka mbona me huu mwaka wa nne naambiwa bado mwaka juz niliambiwa machine mbovu nkasubiri mwaka mzima wa jana naenda leo naambiwa bado hakijatoka yani dah hii serikali yetu sijui kama inatambua hili ni tatzo kubwa au inafanya makusudi ok nikama tunajipga wenyewe risasi mguuni
 
Za chini chini nasikia kuwa wanakaanavyo ili vikikalibia kuisha mda wake wakupe alafu urenew tena ambapo gharama yake ni elfu 20 😄😄 na hapo utasubiri tena mpk kikikaribia kuisha mda wake
 
:
Kadi ya mpiga kura inatoka siku hiyo hiyo baada ya kujaza fomu na picha + fingerprints
emoji3.png
= MASLAHI YA KUTUMIWA KISIASA....
Sasa kadi ya NIDA haina maslahi kwa mwana siasa hivyo kwao haina maana...
Mimi since 2018, leo mwaka wa 5 huu sina NIDA, nisinge print online copy na kuifanya hardcopy leo ningekuwa nasota

Ni kweli.ila Mimi Nina maoni yangu,ni hivi mashine za kuprint kadi ya mpiga kura zikonyingi .Ila mashine za nida zipo chache na zipo Dar pekee.Ndio maana huduma huchelewa.
 
USHAURI
Huu ni ushauri kutoka kwa
Fund man

Nashauri nida ibinafsishwe ili ufanisi uongezeke.
 
Ikitaka Nida uwe Na hela mkononi ndugu within a day unapata
 
Tatizo watu wa serikali,
inefficiency haijawahi kuwaumiza. Kwani kuna mtu
amewahi kukosa mshahara
kwa sababu kitambulisho
kimechelewa? Lakini mtu wa
private, akipewa target zake,
tunataka vitambulisho kadhaa
kila siku, utaniambia speed
watakayokuwa nayo. Maana
wanajua, huko ndiko pesa zao
zinatoka.
Umenikumbusha waalimu wa shule za serikali wanasema hata usipoelewa shauri yako yeye mshahara wake upo palepale.
 
NIDA ni kama cancer aiseee.. toka 2020 hadi leo bado sijapata kitambulisho nishaenda ofisini mara 3 nimeamua wabaki nacho labda wanakihitaji sana kuliko mimi fwakeniii
 
Sio kweli,
Uhamiaji ni wasumbufu kukiko nida ,
Nimekamiliaha kila kitu leo ni miezi minne sijapewa passport kisa sina barua ya shule, nawaambia sikusoma shule hawaniamini,
Cheti changu, baba, mama, babu, bibi, nida, kura barua ya mwenyekiti wa mtaa, leseni, tin number, driving licence, affidavit ya bibi mzaa bibi, eti vyote vimedunda kwasababh ya barua ya shule wakati ukweli mie sikusoma shule,
Nadhani umeona jinsi walivuo wasumbufu
Hizo process za viambatanishi vyote hivyo vya nini? Je ambaye baba,mama,babu,bibi waliisha fariki atafanyaje? Cheti cha kuzaliwa na namba ya nida vitoshe kumfanya mtanzania kupata pass ya kusafiria bila mizengwe .
 
Umenikumbusha waalimu wa shule za serikali wanasema hata usipoelewa shauri yako yeye mshahara wake upo palepale.
[emoji28][emoji28][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom