NIDA wamekosea jina kisha wanataka mtu akafanye kiapo

NIDA wamekosea jina kisha wanataka mtu akafanye kiapo

Islam005

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2008
Posts
3,354
Reaction score
3,623
Habari wandugu na poleni na kazi,

Mdogo wangu alifanya usajili wa NIDA na kukamilisha taratibu zote sasa namba ilivyotoka akiangalia online au kupitia mitandao ya simu anakuta limekosewa herufi moja. Alivyouliza NIDA wakamwambia apeleke nyaraka zake kama cheti cha kuzaliwa, cheti cha darasa la saba etc. pia apeleke kiapo cha mahakama cha kubadili jina, Tangazo la gazeti la serikali na pia Kibali cha mabadiliko ya jina kilichotolewa na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi.

Naombeni msaada kwanini anahitajika vitu hivyo wakati jina lake ni lile lile hajabadilisha ila NIDA ndio wamekosea, pia kama kuna mtu anaweza kutoa msaada zaidi atusaidie, MUNGU awabariki.
 
NIDA NIDA NIDA
Mzigo wa Taifa
Halafu wanamwambia aende kituo alipofanya usajili wakati sasa hivi yupo mbali, hata akienda si ndio mambo ya njoo baadae njoo kesho njoo kesho kutwa? wakati hajafanya kosa lolote documents zake zote zinasoma jina lake sahihi kasoro namba yao ya NIDA.
 
Habari wandugu na poleni na kazi,

Mdogo wangu alifanya usajili wa NIDA na kukamilisha taratibu zote sasa namba ilivyotoka akiangalia online au kupitia mitandao ya simu anakuta limekosewa herufi moja. Alivyouliza NIDA wakamwambia apeleke nyaraka zake kama cheti cha kuzaliwa, cheti cha darasa la saba etc. pia apeleke kiapo cha mahakama cha kubadili jina, Tangazo la gazeti la serikali na pia Kibali cha mabadiliko ya jina kilichotolewa na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi.

Naombeni msaada kwanini anahitajika vitu hivyo wakati jina lake ni lile lile hajabadilisha ila NIDA ndio wamekosea, pia kama kuna mtu anaweza kutoa msaada zaidi atusaidie, MUNGU awabariki.
Islam! Kama nimekuelewa vizuri Nida ndio wanataka abadili jina kwa kuwa wao wamekosea!!!

Tupige mbiu nayo NIDA apewe DP World! Nadhani kila kitu kitaenda vyema hakika!
 
Habari wandugu na poleni na kazi,

Mdogo wangu alifanya usajili wa NIDA na kukamilisha taratibu zote sasa namba ilivyotoka akiangalia online au kupitia mitandao ya simu anakuta limekosewa herufi moja. Alivyouliza NIDA wakamwambia apeleke nyaraka zake kama cheti cha kuzaliwa, cheti cha darasa la saba etc. pia apeleke kiapo cha mahakama cha kubadili jina, Tangazo la gazeti la serikali na pia Kibali cha mabadiliko ya jina kilichotolewa na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi.

Naombeni msaada kwanini anahitajika vitu hivyo wakati jina lake ni lile lile hajabadilisha ila NIDA ndio wamekosea, pia kama kuna mtu anaweza kutoa msaada zaidi atusaidie, MUNGU awabariki.
Hizo taasisi nazo akabidhiwe mwarabu ngozi nyeusi hakuna tunachoweza zaidi ya kunengua viuno.
 
Pole. Inaelekea mtu aliyekujibu kakujibu kimazoea na hakuangalia hali halisi. Una haki ya kukata rufaa kwa mkubwa zaidi ya huyo aliyofanya hayo maamuzi. Muandikie Boss mkubwa na mwambie utawataka wakurudishie gharama zozote utakazoingia katika kufuatilia suala hili.

Amandla...
 
Islam! Kama nimekuelewa vizuri Nida ndio wanataka abadili jina kwa kuwa wao wamekosea!!!

Tupige mbiu nayo NIDA apewe DP World! Nadhani kila kitu kitaenda vyema hakika!
Ngoja bawacha wakusikie
 
Ajaribu kufatilia kitambulisho cha Nida kipya wenda akapata solution mpya
 
Kuna mwana alizunguka mpk basi,
Kila siku akirudi nikimuuliza akianza kuniambia Sijui gazeti gazeti huko simuelewi
 
NIDA walaaniwe .Mimi mpaka Sasa jina halijabadilika Kwa makosa yao
 
Back
Top Bottom