NIDA wamekosea jina kisha wanataka mtu akafanye kiapo

NIDA wamekosea jina kisha wanataka mtu akafanye kiapo

Hivi kwa nini NIDA nayo isitafutiwe wawekezaji?

Toka 2018 mpaka sasa sijapata kitambulisho bali namba pekee.

Si nitakipata kikiwa tayari expired?
 
Usikubali unyonge tatizo nida wanaajili vilaza nenda kwenye ofisi Yao ya utumishi waelezee tatizo watashugulikia
 
Back
Top Bottom