Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tiss ndo imeozaMigration imeoza
TISS ni idara yenye weledi kabksa , si tu Afrika Mashariki ila hata duniani.Tiss ndo imeoza
Kama ni hivyo huo uovu wa kiwango Cha juu kabisa Cha kuhatarisha usalama wa taifa kisingefanyika na wahusika wangekuwa wananyea debe cha ajabu ndo wanakula kiyoyozi Cha V8 na ulinzi juuTISS ni idara yenye weledi kabksa , si tu Afrika Mashariki ila hata duniani.
Ni uzushi tu, ndio maana kashindwa kutaja kampuni husikaKama ni hivyo huo uovu wa kiwango Cha juu kabisa Cha kuhatarisha usalama wa taifa kisingefanyika na wahusika wangekuwa wananyea debe cha ajabu ndo wanakula kiyoyozi Cha V8 na ulinzi juu
Hawana lolote wale takataka tu, nimeshakwenda mara kibao pale bure kabisa.Nakuomba , kwa gharama zako ufike pale upanga makao makuu ya PCCB, toa taarifa rasmi na kama una jua majibna ya kampuni na ofisi zilipo waambie PCCB. Wanafanya kazi kwa weledi na usiri mubwa.
Utalindwa, utarudishiwa gharama zako, utaweza hata kiupewa nishani kwakuwa umesaidia si tu seriali ila taifa kwa ujumla.
Tiss kazi yao ni kutowa taarifa tu, hawana mandate wala power of arrest msichanganye mambo.Tiss ndo imeoza
Tatizo bichwa uwezi andika kitu mpaka uweke neno kinyeo 😁😁😁🚬🚬.Ukiwa na hela unaweza kupata cheti cha kuzaliwa, nida, passport na kila kitu hata kama haustahili.
Unampa elfu hamsini tu anakuchongea vyeti vyote kiulaini.
Nchi ina njaa kali, elfu hamsinii unakula hadi unasaza, na kinyeo anakupa BUUREEEEEEE......
Cc: Poor Brain Extrovert
Ondoa neno "Kama", Uko sahihi, Na kwa hili dokezo ndio uzalendo wenyewe, Hongera kwa hili.Kwa sisi wamiliki wa makampuni ya usafirishaji mizigo ambao kwa kiasi kikubwa tumeishi nje tunaona kama hali hii siyo salama kwa nchi yetu .
Nchi ina laana hii,ujinga kama huo huwezi kufanya hata hapo rwanda tu,miaka ijayo tusipokuwa makini Tanzania yetu itakuja kuongozwa na raisi au mkuu wa vyombo vya ulinzi asiye raia,Nasimama na maofisa wa NIDA waliopo katika maeneo mengi nchini. Madereva na wasaidizi wao wanaofanya safari kwenda nje ya nchi kupeleka mizigo wanapewa vitambulisho vya Tanzania na baadaye zile pasipoti za muda mfupi.
Vitambulisho hivi vinatolewa zaidi kwa wageni waliopo DAR es salaam. Makampuni mengi Yenye umiliki wa watu wenye asili ya Burundi, Malawi, Nigeria, Kenya, Somalia,Rwanda na Waarabu wafanya kazi wake uanza kazi kama wageni then after short time kwa lengo la kukwepa kusumbuliwa na Uhamiaji utafuta vitambulisho vya NIDA na pasipoti wawe kama watanzania.
Vitambulisho hivi utolewa zaidi kwa mtandao wa wanahisa ambao ni wanasiasa wanaelekeza maafisa watoe vitambulisho na Pasipoti Ubungo, Temeke, Kinondoni, Ilala, Kahama, Makambako, MBEYA, Songwe, Arusha, Ngara, Karagwe, Ushirombo, Kigoma na Nyakanazi.
Mbinu zinazotumika ni pamoja na
1. Wamiliki wa makampuni wanazungumza na viongozi wakubwa wa taasisi wakiwadanyanya kwamba kuna ndugu yao anahitaji NIDA au pasipoti ya haraka na kwamba maafisa wanawakwamisha. Zinapigwa simu maelekezo yanatoka wanapata documents
2. Kuna Vishoka maalumu ambao wanachukua si chini ya milioni mbili hadi tatu kwa kitambulisho kimoja. Ikumbukwe kwamba wengi wa watu hawa ni wanafamilia wa matajiri wa kigeni waliopo hapa nchni ambao wanakosa sifa za ajira kama wageni.
3. Wanatumia maafisa wa NIDA wasio waaminifu kupata vitambulisho. Sometimes baadhi wanapewa hadi vitambulisho zaidi ya kimoja na wao ugawana na wale ambao lugha ya kiswahili inasumbua.
4. Wanapokwenda kuomba pasipoti utuma watu kwani wanaogopa kushtukiwa kwa lafudhi zao.
5. Wanatumia familia za kitanzania kama vile wao ni watoto wa hizo familia.
Kwa sisi wamiliki wa makampuni ya usafirishaji mizigo ambao kwa kiasi kikubwa tumeishi nje tunaona kama hali hii siyo salama kwa nchi yetu . Wanasiasa na viongozi wakubwa wanapotumika kuelekeza wageni wapewe huduma si jambo jema.
Wateja wanapotumia vishoka kutekeleza uhalifu si jambo la afya sana kwa nchi. Lakini pia watanzania wengi wanakosa kazi kwa sababu ya wageni kupeana kazi hasa eneo la bandari ya DAR es salaam. Tunakumbuka tukio la Westgate. Hawa wanaotumia fedha na connection kujipatia Utanzania wanatupelekea tuwe hatarini.
Lakini pia changamoto nyingine ipo kwenye sheria za NIDA na UHAMIAJI; nimeripoti mara kadhaa wageni wenye vitambulisho vya NIDA Uhamiaji. Niwapongeze sana UHAMIAJI wanapopata hizi taarifa wanafanikisha kuwakamata wahusika na kuwapeleka mahakamani.
Lakini chakushangaza wakikamatwa wanafika mahakamani asubuhi mchana wamelipa faini na kuachiwa. Unajiuliza kweli faini ya mtu aliyejipatia uraia wetu kinyume cha sheria inakuwaje laki tano?
Mgeni anagushi taarifa anapata kitambulisho cha NIDA analipaje faini ya laki mbili mahakamani? Mawakili kwenye kesi moja wanalipwa kati ya milioni ishirini hadi hamsini kusimamia kesi ya msomali mmoja anapofikishwa mahakamani. Sheria inasema faini laki tano huku watanzania wanasota mahabusu bila dhamana kwa makosa ya kawaida kabisa.
Tunapeleka wapi hii nchi? Kwanini tusiweka adhabu ya kifungo cha miaka kumi na tano ukikutwa na kitambulisho au pasipoti ya Tanzania?
Lakini pia wanasiasa wengi hata wakisikia mgeni amekamatwa na NIDA wanaingilia kati asifikishwe mahakamani....nchi yangu Tanzania mambo yamebadilika sana. Viongozi someni habari za Kongo, South Afrika, Kenya, Syria mk mtaona madhara ya kuachia usalama wa nchi kuingiliwa na matajiri.
Hawa matajiri wanaolindwa na wanasiasa na viongozi wetu wana nchi zao za asili ila sisi watanzania hatuna nchi nyingine. Pelekeni sheria ya Uhamiaji, RITA na NIDA bungeni mkaondoe mafaini hawa watu wakaozeee jela kwa usalama wetu. Mkiendelea kutoza laki tano mahakamani ipo siku tutalipuliwa huku ndani kwani kila mtu anatamani kuwa mtanzania .
Lindeni madereva, maafisa masoko, Wasafirishaji wa Tanzania kwani wageni wameona fursa ya DP world lakini pia wapo maadui wanatumia uzembe wa dola kuifanya biashara ya Tanzania isistawi. Amkeni Amkeni Amkeni tupige vita wageni kupewa pasipoti na vitambulisho vya Tanzania.
Watanzania amkeni amkeni acheni kuwakumbatia wagen kwa kudanganya kwamba ni wanafamilia wenzenu........
Mmoja wapo ni wewe.Mkuu kama una ushahidi wa muhusika yeyote mtaje.
Ili afe,dada humtakii mema mwenzioNakuomba , kwa gharama zako ufike pale upanga makao makuu ya PCCB, toa taarifa rasmi na kama una jua majibna ya kampuni na ofisi zilipo waambie PCCB. Wanafanya kazi kwa weledi na usiri mubwa.
Utalindwa, utarudishiwa gharama zako, utaweza hata kiupewa nishani kwakuwa umesaidia si tu seriali ila taifa kwa ujumla.
We pia miongoni mwa hao wahusika. Bilashaka huendaNi uzushi tu, ndio maana kashindwa kutaja kampuni husika
Wahusika wa kina nani? Kama unawafahamu wataje hapa mkuuWe pia miongoni mwa hao wahusika. Bilashaka huenda