DOKEZO NIDA wanatoa vitambulisho kwa madereva wa kigeni kwa lengo la kuwasadia wapate pasipoti za Tanzania; kitambulisho kimoja kinalipiwa hadi milioni moja

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hadi Nelson Mandela na Thabo Mbeki walikuwa na passports za Tanzania.

Ni mambo ya ujamaa hayo.
 
Kama ni hivyo huo uovu wa kiwango Cha juu kabisa Cha kuhatarisha usalama wa taifa kisingefanyika na wahusika wangekuwa wananyea debe cha ajabu ndo wanakula kiyoyozi Cha V8 na ulinzi juu
Ni uzushi tu, ndio maana kashindwa kutaja kampuni husika
 
Hawana lolote wale takataka tu, nimeshakwenda mara kibao pale bure kabisa.
 
asee hizo allegations unazotoa pasipo uthibitisho ni matumizi mabaya ya demokrasia
acha kabisa kutoa shutuma kwa namna hiyo kwa taasisi za serikali
 
Tatizo bichwa uwezi andika kitu mpaka uweke neno kinyeo 😁😁😁🚬🚬.
Hapo naomba usirudie tena bana plzi
 
upuuzi mtupu na kumbuka mwaka jana nilifika office za Nida nikiwa na vielelezo kasoro cheti chakumaliza darasa la saba, wakauliza kiko wapi nikawapa maelezo kwamba toka nilivyo maliza shule ya msingi siku fuatiliaga coz niliondokaga mikoani kujitafuta. walinikatalia eti mpaka niwe nacho, nawakati kuna watu nili washuhudia kwa macho yangu wakipitishwa mlango wa pili wanaingia wanapigwa picha nakupewa namba kabisa kwasababu ya rushwa, kifupi hao NIDA na immigration wana njaa za kijinga wana nyanyasa wazawa nakukumbatia wageni
 
Kwa sisi wamiliki wa makampuni ya usafirishaji mizigo ambao kwa kiasi kikubwa tumeishi nje tunaona kama hali hii siyo salama kwa nchi yetu .
Ondoa neno "Kama", Uko sahihi, Na kwa hili dokezo ndio uzalendo wenyewe, Hongera kwa hili.

Mamlaka husika iangaziwe, hili ni tatizo likomeshe haraka iwezekanavyo.
 
Nchi ina laana hii,ujinga kama huo huwezi kufanya hata hapo rwanda tu,miaka ijayo tusipokuwa makini Tanzania yetu itakuja kuongozwa na raisi au mkuu wa vyombo vya ulinzi asiye raia,
na hii ni hatari kwa usalama wa Taifa, halafu mbona kawaida kila taasisi ya serikali huwa kuna maofisa wa usalama wa Taifa wasiotambulikana, sasa inakuaje hujuma kama hizo kutokea?au na wao ndio tuseme binadamu na watoto zao wanaitaji kwenda toilet!!!?
 
Ili afe,dada humtakii mema mwenzio
 
Tanzania Imekumbwa Na Nini Sasa Hivi? Mpaka Hali Imekuwa Hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…