NIDA wapewe uhamiaji kwa muda wapo smart sana sijawahi ona taarifa za passport zimekosewa

NIDA wapewe uhamiaji kwa muda wapo smart sana sijawahi ona taarifa za passport zimekosewa

Passport tu kuipata miezi mitatu halafu waongezewe Tena majukumu mengine.Passport inatolewa Kwa kujuana,akija mfanyakazi anapata baada ya siku Moja lakini mtanzania ambaye ni raia danadana Hadi miezi mitatu.
 
Passport tu kuipata miezi mitatu halafu waongezewe Tena majukumu mengine.Passport inatolewa Kwa kujuana,akija mfanyakazi anapata baada ya siku Moja lakini mtanzania ambaye ni raia danadana Hadi miezi mitatu.
Passport kama taarifa zako hazina shida,
Unapata ndani ya siku 14 tu hata kwa raia, hakiki uzoefu wako na uhamiaji
 
Hawa jamaa ni shida sana mkuu.


Wanafanyakazi vile wanataka na muda wanajipangia wao, na hakuna kitu wanajali.



Nakiri wazi kwa kusema moja ya wafanyakazi waliojisahau na wenye dharau ni hawa jamaa wa NIDA.
Najua hawawezi kuamini ila kama mtu anabisha aende Kawe tu pale kule wanapojaza taarifa na kupiga picha na baadhi ya ofisi mule wana kiburi dunia sijapata ona.
Wanahudumia watu kama sio binadamu wenzao yani mpaka inauma,

Ukikuta watu wanavyofokewa mule wamenyweaaa kwa hofu yani daah
 
Vile vile tusipende kurahisisha tu kila kitu kwamba nataka kitambulisho cha uraia basi unaenda leo kesho umepata tutakuja kuhatarisha usalama wa nchi yetu hivi hivi, ndio wewe unaweza kuwa genuine na unastahili kabisa kupata ila kuna maharamia huko yanajipanga kuja kutuumiza hivyo kuwatofautisha hawa inahitaji mchakato kidogo maana Nida haimfahamu kila mtu mpaka kwao.
The most stupid excuse, mbona namba wanatoa sasa si zote zingesubiri the so called mchakato!!
 
Tofautisha customer base ya Immigration na NIDA. Ni watanzania wangapi wanahitaji passport? Ni wangapi wanahitaji vitambulisho vya uraia?

Pia linganisha uelewa wa makundi hayo mawili. Ni mbingu na ardhi! Immigration wakipewa NIDA kama unavyoshauri there won't be any significant difference unless kitu cha ziada kifanyike.
Hata kama idadi ya watu ni kubwa ndio mtu akuambie anaitwa Peter wewe uandike Pita au John uandike Joni

NIDA walikosea pale mwanzo kuchukua watu wasio na taaluma sahihi kwenye zoezi la uandikishaji
 
NIDA inahitajika kila sehemu kwa maana ya waombaji ni wengi kuliko waombaji wa passport.
Huwezi omba passport kama hauna safari.
Hata NIDA wakipewa iminju still matatizo ni yale yale
 
Nida wanahudumia watu wengi sana na Passport sio kila mtu anahitaji.

Labda wasaidiane tu ila sio kuwapa kabisa.

Huko ndio tutafeli zaidi maana uhamiaji watakuwa na majukumu yao na pia ya Nida watazidiwa na kuharibu zaidi.

Vile vile tusipende kurahisisha tu kila kitu kwamba nataka kitambulisho cha uraia basi unaenda leo kesho umepata tutakuja kuhatarisha usalama wa nchi yetu hivi hivi, ndio wewe unaweza kuwa genuine na unastahili kabisa kupata ila kuna maharamia huko yanajipanga kuja kutuumiza hivyo kuwatofautisha hawa inahitaji mchakato kidogo maana Nida haimfahamu kila mtu mpaka kwao.
Mashine ya vitambulisho vya NIDA ndio hiyo hiyo ya vya kura. Mbona vya kura vinatoka siku hiyo hiyo tena baada ya dakika chache tu.

Hawaoni tunahatarisha usalama wa nchi yetu kwa uwezekano wa mamluki wa kigeni kuja kutuchagulia viongozi wetu?
 
Hii ndio ilikuwa idea ya JK wakati wanapanga kutoa vitambulisho vya NIDA. Walipanga iwe more detailed ikiwa na hiyo chip. Na iloenda mbali mpaka wakataka iwe na taarifa za blood group, ukiwa na shida watu wanaingiza chip kusoma taarifa zako. JPM kaingia kavuruga kila kitu akaanza ujinga wake.
Alivuruga nini??una kichwa kidogo kama mlemavu wa zika.
jpm alivuruga nini?jpm ndiye aliigeuza SGR kuwa ya umeme kwa maelezo ya JK mwenyewe,asijekuona umuhimu wa jambo hilo!!!!
Kwa akili hizi za nguruwe,unafikiri ni jambo la kufanya kwa usiku mmoja,unafikiri kwanini kila line ina kitambulisho cha mtu kwa sasa???
Hata wanapotaka mifumo isomane, NIDA ndiyo ilikuwa suluhu, ukienda kutibiwa hospitali A, ukasafiri ukaenda mkoa mwingine,, kama data zako zilikuwa served katika chip, huhangaiki kumsimulia daktari, anaingiza kadi tu anakusoma tatizo lako
Kitu unachotakiwa kufahamu mifumo hii inahitaji uwekezaji na usimamizi,utunzaji wa hali ya juu sana.unapoona ucheleweshaji wa vitambulisho zikiwa na document ndogo za kawaida kabisa ndipo ujue mambo sio mepesi,itachukua muda kuadopt jambo hilo kidijitali.

Leo hii ndio mifumo ya utumishi imeanza kuunganisha taarufa za muajiriwa mitandaoni,sehememu ambapo taarifa zako zitakuwepo muda wowote zikihitajika kwa ruhusa maalumu.

Mambo ni kwa hatua,sio siasa hizi za kutifuana mitaro mnazofanya ccm.
 
Alivuruga nini??una kichwa kidogo kama mlemavu wa zika.
jpm alivuruga nini?jpm ndiye aliigeuza SGR kuwa ya umeme kwa maelezo ya JK mwenyewe,asijekuona umuhimu wa jambo hilo!!!!
Kwa akili hizi za nguruwe,unafikiri ni jambo la kufanya kwa usiku mmoja,unafikiri kwanini kila line ina kitambulisho cha mtu kwa sasa???

Kitu unachotakiwa kufahamu mifumo hii inahitaji uwekezaji na usimamizi,utunzaji wa hali ya juu sana.unapoona ucheleweshaji wa vitambulisho zikiwa na document ndogo za kawaida kabisa ndipo ujue mambo sio mepesi,itachukua muda kuadopt jambo hilo kidijitali.

Leo hii ndio mifumo ya utumishi imeanza kuunganisha taarufa za muajiriwa mitandaoni,sehememu ambapo taarifa zako zitakuwepo muda wowote zikihitajika kwa ruhusa maalumu.

Mambo ni kwa hatua,sio siasa hizi za kutifuana mitaro mnazofanya ccm.
Tumia kichwa kufikiri, sio kubebea kamasi
 
Ingekuwa uwezo wangu nngetengeneza smart card yenye chip watu wanakuwa na uwezo wakuitumia kwenye kila jambo kama utambulisho, usafiri(passport), banks, inahifadhi taarifa/nyaraka zako, kulipa huduma n.k
Kitambulisho cha NIDA kina uwezo wa kuhifadhi taarifa yote hiyo uliyosema.
 
Hata uhamiaji na ubalozi ni hovyo tu
Passport za watoto wangu walikosea bahati kabla sijatoka ikabidi niangalie kwa umakini
Mpaka majina na dob zimekosewa
Wabongo wanachoweza ni uongo na wizi tu
 
NIDA wanachelewesha watu kupata huduma.

Wangepewa muda wakujitathimini.

Hiyo nafasi wapewe uhamiaji wapo smart sana kwenye kuandaa passport za kusafiria.

Sijawahi ona passport imekosewa
Una hoja nzuri lakini kujenga hoja kwenye kutokuona passport imekosewa na uhamiaji haiipi uzito hoja yako.

Umepitia passport ngapi mpaka useme uhitimishe hivyo!!??
 
Sasa hivi RITA-UHAMIAJI-NIDA wanafanyakazi pamoja katika mradi wa Vitambulisho!
NIDA wana deka sana.
 
Back
Top Bottom